Nawauliza wanawake wa JF?

Kwanza lazima utambue watu wana interest rofauti kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo sababu za kimaumbile/jinsia, yan hata wewe kuna jambo utalifanya japo ni la kawaida tu but watu wanaweza kukwambia mbona una mambo ya kike; maana yake hilo jambo kiasili mara nying hufanywa na jinsia nyingine (ke), mfano wewe mwanaume ujikalishe kwenye celebrity forum kila saa kuwazungumzia kina Wema Sepetu lazima tukuchunguze vizur kama linda bado lipo, japo sio kosa but hayo mambo kiasili yanapendelewa kufanywa na wanawake.
 
Halaf sisi wadada tunapenda kuzungumzia mambo yanayotuhusu kwenye maisha yetu ya kila siku moja kwa moja so huwez kutukosa MMU na chit chat coz mapenzi na mahusiano ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku na mtu inakua ni rahisi kuchangia mada hauhitaji kuwaza sana coz tuna experience za kutosha so huna haja ya kuumiza kichwa ukiingia jukwaani.

sasa uje jamii intelligence, sijui siasa, n.k, yan unakosa point kabisa coz kama hujui hujui tu, mambo ya mikataba ya madini, sijui katiba mpya, sijui jeshi lenye nguvu duniani, yani hapo kama hujui hujui tu huwez kutunga, so mara nyingi huwa tunapita kujifunza kwenye hayo majukwaa na kuuliza maswal ili tujue vizur na huo ndo umuhimu wa JF, so mkiona uzi una views 1K but reply 300 ujue kina sie ndo tumepita humo kujifunza tusoyajua
 
Mkuu mbona umetujumuisha wote? Wengine sisi huko kwingine tupo hatupo zaidi sana SIASA UCHUMI MATANGAZO INTERNAIONAL etc. Kila mtu na kupenda kwake kuwepo JF so yote ni heri tu Mkuu waache waburudike ni matakwa yao. Ni hilo tu Mkuu.
 
Kila mtu anashiriki sehemu apendayo banah, sio mambo ya kulazimishana
 
kila mtu anapita anakoona kunamfaa jamani sasa mie sio mwanasiasa wala sinampango wa kuwa mwanasiasa huko nikafanye nini sasa jamani?? kipenda roho
 
Ulishawahi kuona wapi kungwi mwanaume???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…