Nawauliza Washabiki wa Simba, je mmeona ugumu wa kutumbukiza mpira wavuni?

Nawauliza Washabiki wa Simba, je mmeona ugumu wa kutumbukiza mpira wavuni?

changaule

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2020
Posts
6,039
Reaction score
10,151
Ukiona Yanga wanapata goli moja msiwabeze kwa kuwaona wabovu kwa kushinda goli moja moja. Kutumbukiza goli wavuni na kupata point tatu sio kazi ndogo.

Simba imecheza dhidi ya Biashara wakahaha kutumbukiza mpira wavuni lakini wapi mpaka refa akawapa penati lakini boko akawabokoa kwa kukosa penati. Mechi ya Dodoma dhidi ya Simba hivyo hivyo, Simba ikahaha kusaka goli lakini wapi mpaka refa alipowapunguza wachezaji wa Dodoma jiji ndio Simba ikaambulia goli moja.

Jana pia Simba imeangaika kuweka mpira kimiani ili kupata goli kila wakiangaika wapi, mpaka pale refa aliwapata penati. Ilipoyolewa penati basi wachezaji wa Simba walishukuru kwa furaha, washabiki nao wakafurahi sana mpaka wakaruka ruka.

Medie Kagere akaomba dua kwa kusali kabisa na washabiki uwanjani wakapiga maombi ili waambulie goli moja la ushindi huku mkajisahaulisha kuwa ndio nyie mliwananga Yanga kuwa wabovu kisa wanapata kigoli kimoja moja tu tena wanacheza uwanja mzuri kabisa. Je, nyie jana mlichezea uwanja gani jana? Mechi tatu penati mbili, kadi nyekundu mbili.
 
Tunaziona fouls zilizosababisha penati halafu unasema penati za kuwapa ,hivi hizi akili mnazitoa wapi ?kwahiyo mpaka mchezaji afanyiwe foul avunjwe au afe ndo mtasema ni penati
Kennedy Juma mechi na biashara ali mkita mchezaji wa biashara guu la mgongo bila uwepo wa mpira akupewa kadi nyekundu na maisha yaliendelea, Ila wachezaji wa Timu nyingine wakicheza faul za aina iyo dhidi ya Simba mashabiki mbaka viongozi wa Simba wanalia.
 
Kennedy Juma mechi na biashara ali mkita mchezaji wa biashara guu la mgongo bila uwepo wa mpira akupewa kadi nyekundu na maisha yaliendelea, Ila wachezaji wa Timu nyingine wakicheza faul za aina iyo dhidi ya Simba mashabiki mbaka viongozi wa Simba wanalia.
hayo ni maamuzi ya refa
 
Ukiona Yanga wanapata goli moja msiwabeze kwa kuwaona wabovu kwa kushinda goli moja moja. Kutumbukiza goli wavuni na kupata point tatu sio kazi ndogo.

Simba imecheza dhidi ya Biashara wakahaha kutumbukiza mpira wavuni lakini wapi mpaka refa akawapa penati lakini boko akawabokoa kwa kukosa penati. Mechi ya Dodoma dhidi ya Simba hivyo hivyo, Simba ikahaha kusaka goli lakini wapi mpaka refa alipowapunguza wachezaji wa Dodoma jiji ndio Simba ikaambulia goli moja.

Jana pia Simba imeangaika kuweka mpira kimiani ili kupata goli kila wakiangaika wapi, mpaka pale refa aliwapata penati. Ilipoyolewa penati basi wachezaji wa Simba walishukuru kwa furaha, washabiki nao wakafurahi sana mpaka wakaruka ruka. Medie Kagere akaomba dua kwa kusali kabisa na washabiki uwanjani wakapiga maombi ili waambulie goli moja la ushindi huku mkajisahaulisha kuwa ndio nyie mliwananga Yanga kuwa wabovu kisa wanapata kigoli kimoja moja tu tena wanacheza uwanja mzuri kabisa. Je nyie jana mlichezea uwanja gani jana? Mechi tatu penati mbili, kadi nyekundu mbili.
Ongelea goli la kagere kenge wa jangwani wewe
 
Watu wanaumia sana simba kushinda jana japo kwa mbinde
Mkamlaum referee kwa nn aliwapa simba penalty badala ya kutenga mpira wa faulo ielekee kwa simba
 
😁 😅
Upepo umegeuka sasa hata hilo goli moja kupatikana lazima jasho na damu viwatoke na likipatikana watashangilia mpaka kuvua nguo na wengine kusujudu wakimshukuru sana Mungu.

Na sasa nadhan wameona ugumu wa kazi na wataiomba yanga msamaha.

Hawa watoto wa polisi jamanj wanapiga mpira acha. Hawa jamaa ni tishio kwa ubingwa.
 
[emoji16] [emoji28]
Upepo umegeuka sasa hata hilo goli moja kupatikana lazima jasho na damu viwatoke na likipatikana watashangilia mpaka kuvua nguo na wengine kusujudu wakimshukuru sana Mungu.

Na sasa nadhan wameona ugumu wa kazi na wataiomba yanga msamaha.

Hawa watoto wa polisi jamanj wanapiga mpira acha. Hawa jamaa ni tishio kwa ubingwa.
Ndo waliwapelekea moto msimu ulioisha mpaka mkamfukuza metacha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo waliwapelekea moto msimu ulioisha mpaka mkamfukuza metacha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh bana hao watoto this time wanaupiga mwingi balaa. Nafasi ya 2 au 3 au hata moja kabisa ni ya kwao. Dah makolo jana wamekoswa koswa hatar.
. All in all mwaka huu simba ameshika adab. Kwake kila mechi ni dume hehehe
 
Eeh bana hao watoto this time wanaupiga mwingi balaa. Nafasi ya 2 au 3 au hata moja kabisa ni ya kwao. Dah makolo jana wamekoswa koswa hatar.
. All in all mwaka huu simba ameshika adab. Kwake kila mechi ni dume hehehe
Nyie ndo mnashinda kiulaini sio umemuacha mnyama point ngapi[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona Yanga wanapata goli moja msiwabeze kwa kuwaona wabovu kwa kushinda goli moja moja. Kutumbukiza goli wavuni na kupata point tatu sio kazi ndogo.

Simba imecheza dhidi ya Biashara wakahaha kutumbukiza mpira wavuni lakini wapi mpaka refa akawapa penati lakini boko akawabokoa kwa kukosa penati. Mechi ya Dodoma dhidi ya Simba hivyo hivyo, Simba ikahaha kusaka goli lakini wapi mpaka refa alipowapunguza wachezaji wa Dodoma jiji ndio Simba ikaambulia goli moja.

Jana pia Simba imeangaika kuweka mpira kimiani ili kupata goli kila wakiangaika wapi, mpaka pale refa aliwapata penati. Ilipoyolewa penati basi wachezaji wa Simba walishukuru kwa furaha, washabiki nao wakafurahi sana mpaka wakaruka ruka.

Medie Kagere akaomba dua kwa kusali kabisa na washabiki uwanjani wakapiga maombi ili waambulie goli moja la ushindi huku mkajisahaulisha kuwa ndio nyie mliwananga Yanga kuwa wabovu kisa wanapata kigoli kimoja moja tu tena wanacheza uwanja mzuri kabisa. Je, nyie jana mlichezea uwanja gani jana? Mechi tatu penati mbili, kadi nyekundu mbili.
 
[emoji16] [emoji28]
Upepo umegeuka sasa hata hilo goli moja kupatikana lazima jasho na damu viwatoke na likipatikana watashangilia mpaka kuvua nguo na wengine kusujudu wakimshukuru sana Mungu.

Na sasa nadhan wameona ugumu wa kazi na wataiomba yanga msamaha.

Hawa watoto wa polisi jamanj wanapiga mpira acha. Hawa jamaa ni tishio kwa ubingwa.
Match ya juzi na Polisi kuna Shabiki wa Makolo kazimia pale kwa Mkapa baada ya ile penalty kuwa goal. Yaani sasa hivi mashabiki wao wanaishi kwa pressure hadi goal likiingia hawaamini wanaanguka kwa pressure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona Yanga wanapata goli moja msiwabeze kwa kuwaona wabovu kwa kushinda goli moja moja. Kutumbukiza goli wavuni na kupata point tatu sio kazi ndogo.

Simba imecheza dhidi ya Biashara wakahaha kutumbukiza mpira wavuni lakini wapi mpaka refa akawapa penati lakini boko akawabokoa kwa kukosa penati. Mechi ya Dodoma dhidi ya Simba hivyo hivyo, Simba ikahaha kusaka goli lakini wapi mpaka refa alipowapunguza wachezaji wa Dodoma jiji ndio Simba ikaambulia goli moja.

Jana pia Simba imeangaika kuweka mpira kimiani ili kupata goli kila wakiangaika wapi, mpaka pale refa aliwapata penati. Ilipoyolewa penati basi wachezaji wa Simba walishukuru kwa furaha, washabiki nao wakafurahi sana mpaka wakaruka ruka.

Medie Kagere akaomba dua kwa kusali kabisa na washabiki uwanjani wakapiga maombi ili waambulie goli moja la ushindi huku mkajisahaulisha kuwa ndio nyie mliwananga Yanga kuwa wabovu kisa wanapata kigoli kimoja moja tu tena wanacheza uwanja mzuri kabisa. Je, nyie jana mlichezea uwanja gani jana? Mechi tatu penati mbili, kadi nyekundu mbili.
Na zile mbili za galaxy kule kwao alifunga Makambo??
 
WACHAMBUZI WANAPOSEMA YANGA NZURI HAINA MAANA NI NZURI KUZIDI SIMBA KENGE NYIE...NI NZURI UKIILINGANISHA NA YANGA YENYEWE YA MSIMU ULOPITA...NA UKITAKA KUELEWA NACHOSEMA YANGA ROUND YA KWANZA TU "CL" KAPIGWA NJE NDANI SHENZI.
 
Back
Top Bottom