Nawauliza Washabiki wa Simba, je mmeona ugumu wa kutumbukiza mpira wavuni?

Nawauliza Washabiki wa Simba, je mmeona ugumu wa kutumbukiza mpira wavuni?

Eeh bana hao watoto this time wanaupiga mwingi balaa. Nafasi ya 2 au 3 au hata moja kabisa ni ya kwao. Dah makolo jana wamekoswa koswa hatar.
. All in all mwaka huu simba ameshika adab. Kwake kila mechi ni dume hehehe
Kwanini MSIKAMIE.
Screenshot_20211029-193826.jpg
 
Utopolo hapo pikipiki lenu la miti limeshawaka na lipo mteremkoni sasa hivi. Subiri likifika mlimani sasa linaanza kurudi nyuma badala ya kupanda. Manaanzaga hivi hivi kwa Kigali kimoja kimoja then saresare maua. Wakati huo pilipiki ya mafuta ya mnyama inakuwa imeshawaka
 
Utopolo hapo pikipiki lenu la miti limeshawaka na lipo mteremkoni sasa hivi. Subiri likifika mlimani sasa linaanza kurudi nyuma badala ya kupanda. Manaanzaga hivi hivi kwa Kigali kimoja kimoja then saresare maua. Wakati huo pilipiki ya mafuta ya mnyama inakuwa imeshawaka
Nyie mnashinda kwaa goal ngapi ngapi?
 
ninyi si ndio mnatoa hela kuwapa hawa madogo watukazie simba mwisho wa siku wanacheza rafu za hovyo na kupelekea simba kupewa penalty za wazi kabisa zisizo hata na ubishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na zile mbili za galaxy kule kwao alifunga Makambo??
Unazungumzia zile assist walizowapa wachezaji wa Galaxy kwa mipira ya kona huku mkicheza chini ya kiwango? Haya kiliwakuta nini kwa Mkapa mbele ya hao Galaxy.
 
ninyi si ndio mnatoa hela kuwapa hawa madogo watukazie simba mwisho wa siku wanacheza rafu za hovyo na kupelekea simba kupewa penalty za wazi kabisa zisizo hata na ubishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto akidekezwa na wazazi, siku akienda ugenini anakutana na makauzu wasiojua kudekeza watoto. Mmedekezwa kwa magoli ya penati na kucheza na wachezaji pungufu mwisho wa siku klabu bingwa mkatolewa na timu ambayo haijacheza mpira kwa zaidi ya miezi sita
 
WACHAMBUZI WANAPOSEMA YANGA NZURI HAINA MAANA NI NZURI KUZIDI SIMBA KENGE NYIE...NI NZURI UKIILINGANISHA NA YANGA YENYEWE YA MSIMU ULOPITA...NA UKITAKA KUELEWA NACHOSEMA YANGA ROUND YA KWANZA TU "CL" KAPIGWA NJE NDANI SHENZI.
Kwahiyo Simba ikafuzu raundi inayofuata?
 
WACHAMBUZI WANAPOSEMA YANGA NZURI HAINA MAANA NI NZURI KUZIDI SIMBA KENGE NYIE...NI NZURI UKIILINGANISHA NA YANGA YENYEWE YA MSIMU ULOPITA...NA UKITAKA KUELEWA NACHOSEMA YANGA ROUND YA KWANZA TU "CL" KAPIGWA NJE NDANI SHENZI.
Je ubora wa Simba upo kama msimu uliopita au umeshuka?
 
Mtoto akidekezwa na wazazi, siku akienda ugenini anakutana na makauzu wasiojua kudekeza watoto. Mmedekezwa kwa magoli ya penati na kucheza na wachezaji pungufu mwisho wa siku klabu bingwa mkatolewa na timu ambayo haijacheza mpira kwa zaidi ya miezi sita
ninyi ambao hamjadekezwa mpo group stage au sio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ninyi ambao hamjadekezwa mpo group stage au sio

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tungetumia muda mwingi kuandaa timu kama walivyofanya simba ambapo wamekaa Morocco takribani mwezi mzima, wakacheza mechi mbili za kirafiki za kimataifa kisha wakakaa Arusha wakacheza mechi moja ya kimataifa. Hivyo basi Yanga isingeishia kwenye group stage tu bali mpaka nusu fainali tungefika.
 
Sisi tungetumia muda mwingi kuandaa timu kama walivyofanya simba ambapo wamekaa Morocco takribani mwezi mzima, wakacheza mechi mbili za kirafiki za kimataifa kisha wakakaa Arusha wakacheza mechi moja ya kimataifa. Hivyo basi Yanga isingeishia kwenye group stage tu bali mpaka nusu fainali tungefika.
Na wale wachezaji wetu tegemeo
wasingekula pin ya CAF
 
Pamoja na coastal union kuwa pungufu lakini bado mkashindwa kupata goli
 
Ukiona Yanga wanapata goli moja msiwabeze kwa kuwaona wabovu kwa kushinda goli moja moja. Kutumbukiza goli wavuni na kupata point tatu sio kazi ndogo.

Simba imecheza dhidi ya Biashara wakahaha kutumbukiza mpira wavuni lakini wapi mpaka refa akawapa penati lakini boko akawabokoa kwa kukosa penati. Mechi ya Dodoma dhidi ya Simba hivyo hivyo, Simba ikahaha kusaka goli lakini wapi mpaka refa alipowapunguza wachezaji wa Dodoma jiji ndio Simba ikaambulia goli moja.

Jana pia Simba imeangaika kuweka mpira kimiani ili kupata goli kila wakiangaika wapi, mpaka pale refa aliwapata penati. Ilipoyolewa penati basi wachezaji wa Simba walishukuru kwa furaha, washabiki nao wakafurahi sana mpaka wakaruka ruka.

Medie Kagere akaomba dua kwa kusali kabisa na washabiki uwanjani wakapiga maombi ili waambulie goli moja la ushindi huku mkajisahaulisha kuwa ndio nyie mliwananga Yanga kuwa wabovu kisa wanapata kigoli kimoja moja tu tena wanacheza uwanja mzuri kabisa. Je, nyie jana mlichezea uwanja gani jana? Mechi tatu penati mbili, kadi nyekundu mbili.
Msimu uliopita
Mechi nne pointi nne
Msimu huu
Mechi nne pointi nane

Tumeimarika sana ni wachezaji tu kukubali no chama no luis wacheze mpira
 
Back
Top Bottom