playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Kwanini MSIKAMIE.Eeh bana hao watoto this time wanaupiga mwingi balaa. Nafasi ya 2 au 3 au hata moja kabisa ni ya kwao. Dah makolo jana wamekoswa koswa hatar.
. All in all mwaka huu simba ameshika adab. Kwake kila mechi ni dume hehehe
Nyie mnashinda kwaa goal ngapi ngapi?Utopolo hapo pikipiki lenu la miti limeshawaka na lipo mteremkoni sasa hivi. Subiri likifika mlimani sasa linaanza kurudi nyuma badala ya kupanda. Manaanzaga hivi hivi kwa Kigali kimoja kimoja then saresare maua. Wakati huo pilipiki ya mafuta ya mnyama inakuwa imeshawaka
Mtoto akidekezwa na wazazi, siku akienda ugenini anakutana na makauzu wasiojua kudekeza watoto. Mmedekezwa kwa magoli ya penati na kucheza na wachezaji pungufu mwisho wa siku klabu bingwa mkatolewa na timu ambayo haijacheza mpira kwa zaidi ya miezi sitaninyi si ndio mnatoa hela kuwapa hawa madogo watukazie simba mwisho wa siku wanacheza rafu za hovyo na kupelekea simba kupewa penalty za wazi kabisa zisizo hata na ubishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Simba ikafuzu raundi inayofuata?WACHAMBUZI WANAPOSEMA YANGA NZURI HAINA MAANA NI NZURI KUZIDI SIMBA KENGE NYIE...NI NZURI UKIILINGANISHA NA YANGA YENYEWE YA MSIMU ULOPITA...NA UKITAKA KUELEWA NACHOSEMA YANGA ROUND YA KWANZA TU "CL" KAPIGWA NJE NDANI SHENZI.
Je ubora wa Simba upo kama msimu uliopita au umeshuka?WACHAMBUZI WANAPOSEMA YANGA NZURI HAINA MAANA NI NZURI KUZIDI SIMBA KENGE NYIE...NI NZURI UKIILINGANISHA NA YANGA YENYEWE YA MSIMU ULOPITA...NA UKITAKA KUELEWA NACHOSEMA YANGA ROUND YA KWANZA TU "CL" KAPIGWA NJE NDANI SHENZI.
Nu ujinga huo mkuu,kama kunaukweli kubali ndo useme hivyo.hayo ni maamuzi ya refa
ninyi ambao hamjadekezwa mpo group stage au sioMtoto akidekezwa na wazazi, siku akienda ugenini anakutana na makauzu wasiojua kudekeza watoto. Mmedekezwa kwa magoli ya penati na kucheza na wachezaji pungufu mwisho wa siku klabu bingwa mkatolewa na timu ambayo haijacheza mpira kwa zaidi ya miezi sita
Sisi tungetumia muda mwingi kuandaa timu kama walivyofanya simba ambapo wamekaa Morocco takribani mwezi mzima, wakacheza mechi mbili za kirafiki za kimataifa kisha wakakaa Arusha wakacheza mechi moja ya kimataifa. Hivyo basi Yanga isingeishia kwenye group stage tu bali mpaka nusu fainali tungefika.
Na wale wachezaji wetu tegemeoSisi tungetumia muda mwingi kuandaa timu kama walivyofanya simba ambapo wamekaa Morocco takribani mwezi mzima, wakacheza mechi mbili za kirafiki za kimataifa kisha wakakaa Arusha wakacheza mechi moja ya kimataifa. Hivyo basi Yanga isingeishia kwenye group stage tu bali mpaka nusu fainali tungefika.
Msimu uliopitaUkiona Yanga wanapata goli moja msiwabeze kwa kuwaona wabovu kwa kushinda goli moja moja. Kutumbukiza goli wavuni na kupata point tatu sio kazi ndogo.
Simba imecheza dhidi ya Biashara wakahaha kutumbukiza mpira wavuni lakini wapi mpaka refa akawapa penati lakini boko akawabokoa kwa kukosa penati. Mechi ya Dodoma dhidi ya Simba hivyo hivyo, Simba ikahaha kusaka goli lakini wapi mpaka refa alipowapunguza wachezaji wa Dodoma jiji ndio Simba ikaambulia goli moja.
Jana pia Simba imeangaika kuweka mpira kimiani ili kupata goli kila wakiangaika wapi, mpaka pale refa aliwapata penati. Ilipoyolewa penati basi wachezaji wa Simba walishukuru kwa furaha, washabiki nao wakafurahi sana mpaka wakaruka ruka.
Medie Kagere akaomba dua kwa kusali kabisa na washabiki uwanjani wakapiga maombi ili waambulie goli moja la ushindi huku mkajisahaulisha kuwa ndio nyie mliwananga Yanga kuwa wabovu kisa wanapata kigoli kimoja moja tu tena wanacheza uwanja mzuri kabisa. Je, nyie jana mlichezea uwanja gani jana? Mechi tatu penati mbili, kadi nyekundu mbili.