Nawaza kufanya Biashara ya maziwa kutoka Kenya (Brookside)

Nawaza kufanya Biashara ya maziwa kutoka Kenya (Brookside)

Maziwa kuingia tz n inshu Kuna watu huwa wanapita nayo pale kwa kuyaficha ilihali mizigo mingine wanalipia Kodi Kama kawaida.

Soda Kenya zipo Ila ujazo kidogo bei Mara mbili ya ujazo wa huku kwa chupa moja mfano huku 200ml za Coca-Cola kwanza, Nyanza bottling & Bonnite bottles unanunua wholesale around Tsh 350/= Hadi 400/= (Ksn 16 -20) Wakati chupa ya Kenya nafkir n 250ml unanunua wholesale around Ksh 40-45 (Tsh 848-920)
Na nikuulize? soda kupita nazo kuja Kenya sio issue sana? Lakin pia hapo kwenye bei inategemea na sehemu, coz Kuna mahal soda ndogo wanauza kuanzia 30 bob Hadi 50 bob (kwa retail), labda kwa soda za 'take away' hzo wanauza 80 hadi soo moja (Yani mia moja) na wakati huo Tz 'take away' inauzwa elfu moja yani 50 bob ya Kenya
 
Halafu sio maziwa tu, bidhaa nyingi za kenya zina ubora mkubwa, chukulia sabuni ya jamaa sijaona sabuni Tanzania ya kuipita hiyo sabuni ubora , haya njoo maziwa kenya bei ndogo lakini ubora wa kueleweka sijui viwanda Bongo vinakwama wapi,
Yeah, ni kweli ila nadhani Kuna bidhaa hata sisi tutakuwa tumewapita kwenye ubora, kama mafuta ya kupikia nadhani Alizeti yetu ya Singida Iko vizur zaidi kushinda yao, sijajua kwenye sabuni za powder.... Sunlight yao na Doff yetu ipi itakuwa Bora zaidi?
Screenshot_20210908-170925_1.jpg
IMG_20210828_202130_139.jpg
 
Dah, sasa huo muda ningeutoa wapi? Nilikuwa tu nataka maziwa ya kukunywa tu hapo kwa papo, ningetafuta hayo unayoyasema ingebidi yachemshwe kwanza
kule kuna wafugaji wengi sana ingekuwa Dar ningekushauri vingine
 
Na nikuulize? soda kupita nazo kuja Kenya sio issue sana? Lakin pia hapo kwenye bei inategemea na sehemu, coz Kuna mahal soda ndogo wanauza kuanzia 30 bob Hadi 50 bob (kwa retail), labda kwa soda za 'take away' hzo wanauza 80 hadi soo moja (Yani mia moja) na wakati huo Tz 'take away' inauzwa elfu moja yani 50 bob ya Kenya
Ndomana nimekwambia ukifanikiwa kupita nayo hayo maziwa tumia njia hyo hyo kupitisha soda japo n rahisi kupitisha mzigo wa Tz kwenda Ke kimagumashi kuliko Ke to Tz japo more lazima utoboke Ila to Kenya mnamaliza Biashara mapema muhimu uwe na stika ya KRA.

Soda ya chupa restaurant au bar n kuanzia 80 Bob (Tsh 1,700/=)na ujazo wake n Mdogo kuliko hz zetu bongo sie bar na restaurant zinaanza 800/= mpaka buku.

Huon hapo Kuna pesa ya bure mzee
 
Yeah, ni kweli ila nadhani Kuna bidhaa hata sisi tutakuwa tumewapita kwenye ubora, kama mafuta ya kupikia nadhani Alizeti yetu ya Singida Iko vizur zaidi kushinda yao, sijajua kwenye sabuni za powder.... Sunlight yao na Doff yetu ipi itakuwa Bora zaidi?View attachment 1929396View attachment 1929397
Tanzania hamna viwanda vya kushindana na Kenya ujue wakenya wanatumia mafuta yanayotokana na mbogamboga hii n kutokana yakuwa nchi yao n jangwa kubwa pia ardhi kiujumla n ndogo lakini n mazuri kinoma kuliko haya ya kwetu
16311229205035651810968896886630.jpg


Sabuni mzee sir hatuna sabuni Bali tuna chemical zinazoharibu nguo zetu jiulize Kama miaka ya 90 ulikuwa unajitambua n Sabuni gani zilikuwa zinatamba za unga na mche je zilikuwa zinatoka wapi?

Kwann omo au sunlight 500g n 3,500 huku hzo doffi, klinsoft na zile za moo zinauzwa 500g buku au chini ya hapo?
 
Ndomana nimekwambia ukifanikiwa kupita nayo hayo maziwa tumia njia hyo hyo kupitisha soda japo n rahisi kupitisha mzigo wa Tz kwenda Ke kimagumashi kuliko Ke to Tz japo more lazima utoboke Ila to Kenya mnamaliza Biashara mapema muhimu uwe na stika ya KRA.

Soda ya chupa restaurant au bar n kuanzia 80 Bob (Tsh 1,700/=)na ujazo wake n Mdogo kuliko hz zetu bongo sie bar na restaurant zinaanza 800/= mpaka buku.

Huon hapo Kuna pesa ya bure mzee
Idea nzuri, wacha nitatafiti. Je vip kuhusu energy drinks coz huku naona wanapenda sana kunywa hizo tena Azam energy ndio usiseme wanaipenda sana, Hadi Kuna mtu aliniambia kwamba wanaitengenezea huku huku kimagumashi na sticker inasoma inatoka Bongo Yani ni kama wanavyofanya kwenye Konyagi,

Konyagi Og inatoka Tanzania ila huku wanayakwao ambayo wanatengeneza wenyewe ila label inasoma Dar es salaam Tanzania na ukizinywa zote 2 taste ni tofauti

Sasa hili la Azam energy Sina uhakika kama kweli na hii wanaichakachua kwasababu naziona nyingi sana huku japokuwa na wao wana Energy drinks zao nzuri kama Play na Predator,...So nataka nitaste na Mo Extra kama watazikubali coz sijaziona kabisa huku
Screenshot_20210908-212229_1.jpg
Screenshot_20210908-212248_1.jpg
 
Tanzania hamna viwanda vya kushindana na Kenya ujue wakenya wanatumia mafuta yanayotokana na mbogamboga hii n kutokana yakuwa nchi yao n jangwa kubwa pia ardhi kiujumla n ndogo lakini n mazuri kinoma kuliko haya ya kwetuView attachment 1929659

Sabuni mzee sir hatuna sabuni Bali tuna chemical zinazoharibu nguo zetu jiulize Kama miaka ya 90 ulikuwa unajitambua n Sabuni gani zilikuwa zinatamba za unga na mche je zilikuwa zinatoka wapi?

Kwann omo au sunlight 500g n 3,500 huku hzo doffi, klinsoft na zile za moo zinauzwa 500g buku au chini ya hapo?
Dah! Kweli, na leo nilipita Supaa kucheki mafuta yao na price zao
Screenshot_20210908-213907.jpg
 
Idea nzuri, wacha nitatafiti. Je vip kuhusu energy drinks coz huku naona wanapenda sana kunywa hizo tena Azam energy ndio usiseme wanaipenda sana, Hadi Kuna mtu aliniambia kwamba wanaitengenezea huku huku kimagumashi na sticker inasoma inatoka Bongo Yani ni kama wanavyofanya kwenye Konyagi,

Konyagi Og inatoka Tanzania ila huku wanayakwao ambayo wanatengeneza wenyewe ila label inasoma Dar es salaam Tanzania na ukizinywa zote 2 taste ni tofauti

Sasa hili la Azam energy Sina uhakika kama kweli na hii wanaichakachua kwasababu naziona nyingi sana huku japokuwa na wao wana Energy drinks zao nzuri kama Play na Predator,...So nataka nitaste na Mo Extra kama watazikubali coz sijaziona kabisa hukuView attachment 1929708View attachment 1929709
Azam inapendwa Sana Kenya Cha ajabu sijawahi kuona chuma ya bakrhesa ikiwa inaenda Kenya najiuliza labda anasafirisha kwa meli mpaka Mombasa ndo zinaingia Ila kiuhalisia Azam energy drink, konyagi, k vant ndo vinywaji vinavyopendwa kuliko ambavyo n Mali ya Tz hvyo ukiviingiza Kenya Mambo mswano tuu
 
Ndomana nimekwambia ukifanikiwa kupita nayo hayo maziwa tumia njia hyo hyo kupitisha soda japo n rahisi kupitisha mzigo wa Tz kwenda Ke kimagumashi kuliko Ke to Tz japo more lazima utoboke Ila to Kenya mnamaliza Biashara mapema muhimu uwe na stika ya KRA.

Soda ya chupa restaurant au bar n kuanzia 80 Bob (Tsh 1,700/=)na ujazo wake n Mdogo kuliko hz zetu bongo sie bar na restaurant zinaanza 800/= mpaka buku.

Huon hapo Kuna pesa ya bure mzee
Bro, Habari ya uzima? I hope uko poa. Leo niliamkia kwa a wholesale distributor wa coke eneo ninalokaa nikaomba kupiga picha karatas ya bei za vinywaji vyao vyote, so hebu check na hizo bei then ulinganishe na bei za Tz tuone kama tumepishana sana
IMG_20210909_102304_315.jpg
 
Bro, Habari ya uzima? I hope uko poa. Leo niliamkia kwa a wholesale distributor wa coke eneo ninalokaa nikaomba kupiga picha karatas ya bei za vinywaji vyao vyote, so hebu check na hizo bei then ulinganishe na bei za Tz tuone kama tumepishana sanaView attachment 1930230

Nipo salama,

Hapo soda moja inaanza na Tsh 430/= kale la mwala au emolo wakati kubwa yake n Tsh 640/= sasa hapo huon tayari n Biashara jaribu kutafuta watu wa Coca-Cola's Arusha au Moshi akupe bei alafu unajilipua hata na katoni kumikumi kila aina usikikizie itakuwaje
 
Nipo salama,

Hapo soda moja inaanza na Tsh 430/= kale la mwala au emolo wakati kubwa yake n Tsh 640/= sasa hapo huon tayari n Biashara jaribu kutafuta watu wa Coca-Cola's Arusha au Moshi akupe bei alafu unajilipua hata na katoni kumikumi kila aina usikikizie itakuwaje
Kesho nashuka Arusha, nitaulizia then nione kama itaweza
 
Tangu lini wameanza na unauhakika au unadhani/kumbuka kuwa uliwah kuona au kuhadithiwa?

Tafadhali niaupdate Kama washapewa kibali kuingiza hapa bongo tuteleze nayo fasta.
Mbona umeniquote kibabe sana.!
Mimi siongei habari za kusimuliwa nishaenda hapo Mwaka 2015 na mkurugenzi wake akanitembeza sehemu zote za ofisi na namba za staff wao ninazo sema sijawasiliana nao takribani miaka 5 sasa.!
 
Mbona umeniquote kibabe sana.!
Mimi siongei habari za kusimuliwa nishaenda hapo Mwaka 2015 na mkurugenzi wake akanitembeza sehemu zote za ofisi na namba za staff wao ninazo sema sijawasiliana nao takribani miaka 5 sasa.!
Namba uliopiga umepigwa

Sasa nimekuuluza ili unipe uhakika wa unachosema Sasa habari za 2015 na umeambiwa hzo vitu vilipigwa ban Sasa n 2021.

Yan mtanzania n tabu sana
 
Ni wazi zuri ila wabongo wengi huwa hawapendi maziwa yaliyofungashwa na kuwekewe presevatives.
Wengi wao ni wanawake wanaonunua maziwa kwa ajili ya watoto wachanga hawataki hayo ya box kabisa.
Kwa hiyo wapo wengi tu wanaouza maziwa freshi huku mitaani.
Kwani maziwa yanawekewa presevative?
 
Maziwa kuingia tz n inshu Kuna watu huwa wanapita nayo pale kwa kuyaficha ilihali mizigo mingine wanalipia Kodi Kama kawaida.

Soda Kenya zipo Ila ujazo kidogo bei Mara mbili ya ujazo wa huku kwa chupa moja mfano huku 200ml za Coca-Cola kwanza, Nyanza bottling & Bonnite bottles unanunua wholesale around Tsh 350/= Hadi 400/= (Ksn 16 -20) Wakati chupa ya Kenya nafkir n 250ml unanunua wholesale around Ksh 40-45 (Tsh 848-920)
Soda ni ishu hivyo Kenya?
 
Back
Top Bottom