yassird200
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 466
- 813
Hiyo point kuna sisi tumelelewa kigumuWape hela pia nenda na mazaga zaga ya jikoni watafurahi.
Fanya hivyo.Hiyo point kuna sisi tumelelewa kigumu
Okkama haufaham size wape hela na vyakula usiwape hela peke yake
Mkuu huko nikufirisiana na budget ya 150k pekeeNunua
-Mchele 10kgs
-Mfuko mmoja wa ngano
-Sukari 10kgs
-Nyanya na vitunguu vya kutosha
-Mkungu wa ndizi mbichi
andaa
-Kibunda atleast 100k kwa kila mmoja, na 5k kwa madogo kama wapo
Ndio nlitaka kuanza kujifunza kuwapa wazee zawadi nje ya pesaKama unajua size yao wanunulie tena itakuwa kumbukumbu ya mda mrefu pesa na chakula vitaisha na watasahau mbona wakati tulivyo wadogo wazee walikuwa wanatununulia nguo iweje saiv jitu linakwambia siwezi mnunulia nguo mzazi wangu anaona aibu huo ni ujinga
KweliKama unajua size yao wanunulie tena itakuwa kumbukumbu ya mda mrefu pesa na chakula vitaisha na watasahau mbona wakati tulivyo wadogo wazee walikuwa wanatununulia nguo iweje saiv jitu linakwambia siwezi mnunulia nguo mzazi wangu anaona aibu huo ni ujinga
Nltaka niendane na siku we unaonaje mkuu?Wape hela waamue wenyewe wanachotaka.
Hahaha me mwenyewe sina hilo gari mkuuNunua vitenge vya kutosha vya mama chukua na makoti ya mzee kama upo vizuri mchukulie mzee boda boda au gari ndogo, utakuja kunishukuru hayo masuala ya mchele sijui unga achana nayo.
anha basi nunua vitu vilivyo ndani ya budget ya 50k, bakiza 100k ya kumpaMkuu huko nikufirisiana na budget ya 150k pekee
Pesa yakuwapa ipo mkuu hako ni kubget ka kuingilia kutoka lazim uache mzee anacheka na mke wakeanha basi nunua vitu vilivyo ndani ya budget ya 50k, bakiza 100k ya kumpa
fanya hivi mchukulie mama vitenge kisha mzee utampoza na hela cashHahaha me mwenyewe sina hilo gari mkuu
Hii ndo best option hata mm nimewaza hivyo👺👺fanya hivi mchukulie mama vitenge kisha mzee utampoza na hela cash