Nawaza kumletea mzee nguo kama zawadi ya valentine. Ni sawa au nitakuwa nimekosea?

Nawaza kumletea mzee nguo kama zawadi ya valentine. Ni sawa au nitakuwa nimekosea?

Nunua
-Mchele 10kgs
-Mfuko mmoja wa ngano
-Sukari 10kgs
-Nyanya na vitunguu vya kutosha
-Mkungu wa ndizi mbichi

andaa
-Kibunda atleast 100k kwa kila mmoja, na 5k kwa madogo kama wapo
Kwanini unataka kumtesa mwenzako unataka arudi kwqke fukara
 
Wakuu! Binafsi mimi si mtu wa masuala ya mapenzi hata kwenye siku kama ya leo.

Leo nilikuwa na mpango wa kuwatembelea wazee, lakini kwa kuwa ni siku ya upendo, nikaona si vibaya nikichukua chochote kwa ajili yao. Kuhusu huyo mzee, ishu si yeye kama mtu, bali ni mama yake.

Sasa nawaza kumletea nguo—je, hiyo itakuwa sawa au nitakuwa nimekosea?

Shida ni kwamba si utaratibu wangu kufanya hivi mara kwa mara, nikaona bora niulize ushauri. Au nikae kimya, niende hivyo hivyo, wataelewa wenyewe huko? 😅

Nisaidieni mawazo!
Si vibaya kuwapa wazazi zawadi siku ya valentine ila kama unatafsiri nyingine moyoni mwako. Umekalia baraka kumbe wazazi wapo? Wengine tunatamani kufanya hivo lakini hawapo.
 
Nunua kuku mwekundu, hela ziwe elfu kumikumi tu, kama unafahamu size zao siyo mbaya wanunulie nguo nyekundu.

Anyway, ukifanikiwa kuwanunulia nguo nyekundu usisahau kuwaandalia na kilinge
 
Usije kumnunulia suruali ya kubana au shati la kufanana na alilo nalo.

mpe tu hela
 
Nunua
-Mchele 10kgs
-Mfuko mmoja wa ngano
-Sukari 10kgs
-Nyanya na vitunguu vya kutosha
-Mkungu wa ndizi mbichi

andaa
-Kibunda atleast 100k kwa kila mmoja, na 5k kwa madogo kama wapo
Unajua kupangilia zawadi ya kupeleka nyumbani.
Hapo lazima wafurahi hata kama ukikuta wamenuna.
Utapokelewa kwa mzinga wa 'waaaaooo' ya kufa mtu.
 
Achana na masuala ya nguo, wanunulie vyakula zaidi na pesa waachie. Achana na Mambo ya vyakula vitaisha hawatakukumbuka, kwani unafanya ili wakukumbuke? Wazazi wako wanathamini chochote kidogo, wanakubless baraka
 
Wakuu! Binafsi mimi si mtu wa masuala ya mapenzi hata kwenye siku kama ya leo.

Leo nilikuwa na mpango wa kuwatembelea wazee, lakini kwa kuwa ni siku ya upendo, nikaona si vibaya nikichukua chochote kwa ajili yao. Kuhusu huyo mzee, ishu si yeye kama mtu, bali ni mama yake.

Sasa nawaza kumletea nguo—je, hiyo itakuwa sawa au nitakuwa nimekosea?

Shida ni kwamba si utaratibu wangu kufanya hivi mara kwa mara, nikaona bora niulize ushauri. Au nikae kimya, niende hivyo hivyo, wataelewa wenyewe huko? 😅

Nisaidieni mawazo!
Hivi ni kwanini hadi msubiri siku ya leo?
 
Wakuu! Binafsi mimi si mtu wa masuala ya mapenzi hata kwenye siku kama ya leo.

Leo nilikuwa na mpango wa kuwatembelea wazee, lakini kwa kuwa ni siku ya upendo, nikaona si vibaya nikichukua chochote kwa ajili yao. Kuhusu huyo mzee, ishu si yeye kama mtu, bali ni mama yake.

Sasa nawaza kumletea nguo—je, hiyo itakuwa sawa au nitakuwa nimekosea?

Shida ni kwamba si utaratibu wangu kufanya hivi mara kwa mara, nikaona bora niulize ushauri. Au nikae kimya, niende hivyo hivyo, wataelewa wenyewe huko? 😅

Nisaidieni mawazo!
Wapelekee maua uwaambie ndo zàwadi za valentine day wazungu wanaoenda sanaaa. Watafurahi kwelikweli.
 
Achs mambo yako mnunulie mwambie nakupenda baba yangu,na mazaga mengine atafurahi sana na atakuombea baraka.
Nguo pia ni kumbukumbu
 
Penda wazazi wako ili ujikinge na mabaya na husda za wabaya fanya lolote unaloweza ili wazazi wawe na furah
 
.
 

Attachments

  • IMG_20250214_195402.jpg
    IMG_20250214_195402.jpg
    112.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom