EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kwanini unataka kumtesa mwenzako unataka arudi kwqke fukaraNunua
-Mchele 10kgs
-Mfuko mmoja wa ngano
-Sukari 10kgs
-Nyanya na vitunguu vya kutosha
-Mkungu wa ndizi mbichi
andaa
-Kibunda atleast 100k kwa kila mmoja, na 5k kwa madogo kama wapo
Jamaa anataka nisirudi tena kwetu mkuuKwanini unataka kumtesa mwenzako unataka arudi kwqke fukara
Si vibaya kuwapa wazazi zawadi siku ya valentine ila kama unatafsiri nyingine moyoni mwako. Umekalia baraka kumbe wazazi wapo? Wengine tunatamani kufanya hivo lakini hawapo.Wakuu! Binafsi mimi si mtu wa masuala ya mapenzi hata kwenye siku kama ya leo.
Leo nilikuwa na mpango wa kuwatembelea wazee, lakini kwa kuwa ni siku ya upendo, nikaona si vibaya nikichukua chochote kwa ajili yao. Kuhusu huyo mzee, ishu si yeye kama mtu, bali ni mama yake.
Sasa nawaza kumletea nguo—je, hiyo itakuwa sawa au nitakuwa nimekosea?
Shida ni kwamba si utaratibu wangu kufanya hivi mara kwa mara, nikaona bora niulize ushauri. Au nikae kimya, niende hivyo hivyo, wataelewa wenyewe huko? 😅
Nisaidieni mawazo!
Pole mkuuSi vibaya kuwapa wazazi zawadi siku ya valentine ila kama unatafsiri nyingine moyoni mwako. Umekalia baraka kumbe wazazi wapo? Wengine tunatamani kufanya hivo lakini hawapo.
Upendo gharamaMkuu huko nikufirisiana na budget ya 150k pekee
Najua ila kuna maisha nje ya hapo mkuuUpendo gharama
Unajua kupangilia zawadi ya kupeleka nyumbani.Nunua
-Mchele 10kgs
-Mfuko mmoja wa ngano
-Sukari 10kgs
-Nyanya na vitunguu vya kutosha
-Mkungu wa ndizi mbichi
andaa
-Kibunda atleast 100k kwa kila mmoja, na 5k kwa madogo kama wapo
Hivi ni kwanini hadi msubiri siku ya leo?Wakuu! Binafsi mimi si mtu wa masuala ya mapenzi hata kwenye siku kama ya leo.
Leo nilikuwa na mpango wa kuwatembelea wazee, lakini kwa kuwa ni siku ya upendo, nikaona si vibaya nikichukua chochote kwa ajili yao. Kuhusu huyo mzee, ishu si yeye kama mtu, bali ni mama yake.
Sasa nawaza kumletea nguo—je, hiyo itakuwa sawa au nitakuwa nimekosea?
Shida ni kwamba si utaratibu wangu kufanya hivi mara kwa mara, nikaona bora niulize ushauri. Au nikae kimya, niende hivyo hivyo, wataelewa wenyewe huko? 😅
Nisaidieni mawazo!
Wapelekee maua uwaambie ndo zàwadi za valentine day wazungu wanaoenda sanaaa. Watafurahi kwelikweli.Wakuu! Binafsi mimi si mtu wa masuala ya mapenzi hata kwenye siku kama ya leo.
Leo nilikuwa na mpango wa kuwatembelea wazee, lakini kwa kuwa ni siku ya upendo, nikaona si vibaya nikichukua chochote kwa ajili yao. Kuhusu huyo mzee, ishu si yeye kama mtu, bali ni mama yake.
Sasa nawaza kumletea nguo—je, hiyo itakuwa sawa au nitakuwa nimekosea?
Shida ni kwamba si utaratibu wangu kufanya hivi mara kwa mara, nikaona bora niulize ushauri. Au nikae kimya, niende hivyo hivyo, wataelewa wenyewe huko? 😅
Nisaidieni mawazo!
Kamyweso labda apige kwa wizi mkuuMpelekee nyama na mchele alafu mpe na ka hela akapige ka mnyweso
aaah nshaelewa ni muislam sioKamyweso labda apige kwa wizi mkuu
Mkuuaaah nshaelewa ni muislam sio
Leo robot umesahau kusema "Duuh aseeeee"Nunua ila nguo kama haufahamu saizi yake kampe tu hela