Nawaza nimekosea wapi au ni laana! Napitia msongo wa mawazo

Nawaza nimekosea wapi au ni laana! Napitia msongo wa mawazo

umeandika kama kila mtu anajua namna ulivyo na labda unaona kama tunaJua unachopitia. Hebu jaribu kujibu haya maswali
1. Una shida gani ya kimuonekano maana. Umesema namna ulivyo.

2. Kwenye miaka hiyo uliyonayo unajilinganisha na nani mpaka upate depression? Kama yupo acha mara moja kila mtu ni tofauti.

3. Unataka kupendwa wewe unajipenda? Kumbuka vile unataka kuchukuliwa na wengine lazima ianze na wewe. Tena Suala la upendo huwezi kupata kama wewe hujajipenda.

3. ulipanga lengo gani kufikia umri ulionao. Kama lipo na hujalifikia na ndilo linakusumbua mbona rahisi sana badilisha strategies, rudi kujipanga sio dhambi kuanza upya.
#Goodluck
 
Moja acha punyeto, mbili acha nyeto, tatu acha nyeto ingia youtube jifunze meditation na nyimbo za kumeditate,
Fanya nofap. Celibate ishi chaste life raha itarudi.
soma faida za no fap au celibate.
Utakuwa mvuto wa akili na nguvu za kupambana.
Kwa umri focus acha ngono utakuja kufanya hadi uone ni uchafu utamani kuacha tena.
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini nitaelezea kama ilivyo. Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yaani msongo wa mawazo.

Sina mtoto na sijui kama nitakua nae maana hamna demu ananitaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi...

Nimechoka kuishi na kujiua siwezi maana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwahi kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive. Nahitaji ushauri🙏
Natabiriii tu:
Itakuwa unasoma au
Itakuwa unakula kwa wazazi au
Itakuwa hujitegemei

Niambie unafanya KAZI au unafanya nini
Mimi ilishawahi kuwa na Hali kama Yako lakini nilivyo anza kulala stendi na kusaka maisha sikuwahi kusikia nyege mbaka nikahisi nimekuwa hanisi ikabidi nikatest mitambo pale riverside ndo nikagundua KAZI ni dawa

Nb.KAZI ni kipimo cha utu
 
Cha tano, yani una 20s alafu unawza mambo ya watoto., fanya kazi wee pimbi acha usengeee

Yani bwana mdogo anasikitisha sana huyu, anawaza watoto wakati yeye bado ni mtoto hajajielewa
 
Natabiriii tu:
Itakuwa unasoma au
Itakuwa unakula kwa wazazi au
Itakuwa hujitegemei

Niambie unafanya KAZI au unafanya nini
Mimi ilishawahi kuwa na Hali kama Yako lakini nilivyo anza kulala stendi na kusaka maisha sikuwahi kusikia nyege mbaka nikahisi nimekuwa hanisi ikabidi nikatest mitambo pale riverside ndo nikagundua KAZI ni dawa

Nb.KAZI ni kipimo cha utu
Najitegemea mkuu spo kama unavyodhani na age yangu n late 20s
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini nitaelezea kama ilivyo. Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yaani msongo wa mawazo.

Sina mtoto na sijui kama nitakua nae maana hamna demu ananitaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi...

Nimechoka kuishi na kujiua siwezi maana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwahi kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive. Nahitaji ushauri🙏
Umekosa hata wa kununua? Au stress unatokana na kukosa pesa
 
This Generation has become so weak. Mambo madogo madogo tu eti depression. SMH!!
 
Demu. Unahitaji demu.
Leo nimemuota yule nadhani alikuwa ni Babaji. Alikuwa na demu amelala kwenye kitanda na demu.
Which is fantastic thing for me to say ukifikiria Babaji ni nani.
Halafu anasema ( nilipaswa kuiandika pale pale halafu ingekuwa verbatim), lakini nimeandika baadaye, nadhani alisema:
"Don't you come to sleep and dream with us
You have been away for too long."
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini nitaelezea kama ilivyo. Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yaani msongo wa mawazo.

Sina mtoto na sijui kama nitakua nae maana hamna demu ananitaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi...

Nimechoka kuishi na kujiua siwezi maana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwahi kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive. Nahitaji ushauri🙏
Huo msongo wa mawazo umetokana na wewe kuamini kwamba ukiwa na mpenzi ndo unakuwa na furaha, that's wrong dear

Halafu una lack some approaching tips and Laws of attraction

Over
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini nitaelezea kama ilivyo. Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yaani msongo wa mawazo.

Sina mtoto na sijui kama nitakua nae maana hamna demu ananitaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi...

Nimechoka kuishi na kujiua siwezi maana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwahi kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive. Nahitaji ushauri🙏
Tatizo lako ni dogo sana sana,unapaswa uwe na subira kidogo tu mambo yanaenda kuwa mazuri ,siku Chache utanitafuta unishukuru inbox , una bahati sanasana brother hujui tu,na kwa sababu ya wewe kuwa na bahati basi umegeuka kuteseka hata usijue sababu kamili, Anza kuwa na tumaini Sasa,siku za amani na furaha zinakuja
 
ri
Mimi sio muandishi mzuri lakini nitaelezea kama ilivyo. Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yaani msongo wa mawazo.

Sina mtoto na sijui kama nitakua nae maana hamna demu ananitaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi...

Nimechoka kuishi na kujiua siwezi maana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwahi kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive. Nahitaji ushauri🙏
Acha kukata tamaa bro, wengine tumepitia zaidi ya hayo, piga moyo konde,songa mbele, kwa mwanamume, kazi, pesa, ni suruhisho la mambo mengi,
Ongea na jamaa, ndugu, marafiki,ili kupata fulsa,zingine zinapatikana mtandaoni,
Cha kwanza, pata muda usikilize neno la Mungu,(sio kwa fake pastors kama mwamposa,)
 
Demu. Unahitaji demu.
Leo nimemuota yule nadhani alikuwa ni Babaji. Alikuwa na demu amelala kwenye kitanda na demu.
Which is fantastic thing for me to say ukifikiria Babaji ni nani.
Halafu anasema ( nilipaswa kuiandika pale pale halafu ingekuwa verbatim), lakini nimeandika baadaye, nadhani alisema:
"Don't you come to sleep and dream with us
You have been away for too long."
Babaji is a mystic figure just like Maritan apparitions.
 
Chagua demu jf nikutongozee uone kama depression itaisha
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini nitaelezea kama ilivyo. Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yaani msongo wa mawazo.

Sina mtoto na sijui kama nitakua nae maana hamna demu ananitaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi...

Nimechoka kuishi na kujiua siwezi maana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwahi kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive. Nahitaji ushauri🙏
Tafuta pesa hao mademu watakuja wenyewe utazichapa mpaka utazikimbia
 
Kwa hiyo madem wanataka kukupeleka ahera,sasa miaka 20 hela huna nani atakutaka?
 
Back
Top Bottom