Nawaza nimekosea wapi au ni laana! Napitia msongo wa mawazo

Nawaza nimekosea wapi au ni laana! Napitia msongo wa mawazo

Sina mtoto na sijui kama nitakua nae maana hamna demu ananitaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi...
Dogo unaonekana MTOTO WA MAMA na vilevile MPIGA PUNYETO. Na kubwa zaidi ni huna purpose kwenye maisha yako, Yaani unaishi ilimradi tu. so kitu cha kwanza tafuta Purpose.

Unataka Dunia ikupende kama unavyopendwa na MAMA yako, ACHA UFALA.

Be a Man, focus na kujijengea maisha yako then ukishapata Pesa, na mengine yote utazidishiwa.
 
Hupendwi na mademu kwa Nini? Huna hela au una ulemavu fulani?
 
Come to Jesus atakupumzisha huo msongo wa akili, mimi nishawahi kuwa mhanga wa depression lakini now i am freee.
 
Mkuu huna tatizo na wala usihofu hata kidogo, msongo ni kipimo cha kuonesha kuna namna unapaswa kuwa ila haujawa bado ndiyo maana unajisikia unavyojisikia. Usitafute faraja zaidi ya kujikubali na kukubali kuwa wewe ni msimamizi wa maisha yako na mtawala wa akili yako.

Hayupo wa kukusaidia usipojisaidia kwanza wewe mwenyewe kwa kujipa kile unachokihitaji haswaa ndani yako. Jiulize tu ukikaa peke yako ndani yako unajisikiaje? Trust me, kuna picha fulani nzuri ya maisha yako ulishaiona ila mazingira yanakuonesha vitu tofauti.

Usikubali kuliwazwa Wala kujiliwaza kama hujapata ukitakacho. Chagua njia ngumu ya kuamua kuwa vile ulivyoona tangu mwanzo ndani yako bila kujali unakutana na ugumu kiasi gani.

Sitaki kukushauri ushauri ambao nauita "dawa ya kutuliza maumivu" ila natamami sana utambue kuwa dawa ya kudumu ni wewe mwenyewe na siyo kubembelezwa "comfort zone". Narudia tena unajisikia msingi Kwa sababu kuna kitu kipo ndani yako na ulishaiona ila hujakifanya bado na dawa yake ni kukifanya tu haya mengine tutasumbuana bure.

Kumbuka mtu ni mtawala wa maisha yake hata kama akiwa katika hali dhalili kiasi gani. Usitegemee sana watu wa nje kuyatawala au kuyasimamia maisha yako. Wewe ni wewe ndani yako.

Usitegemee sana watia hamasa "motivational speakers" kukupa hamasa kama hauna hamasa ndani yako. Tumia hamasa yako kuhamasika na kuendelea. Hamasa ya nje inapaswa kuwa kama kiberiti cha kuwasha moto katika kile kilichomo ndani yako "self motive".
 
Pole sana kwa kile unachopitia. Kuwa na hisia za msongo wa mawazo ni jambo gumu sana, na ni muhimu kujua kwamba hauko peke yako—watu wengi hupitia hali kama hiyo kwa nyakati tofauti maishani.

Kwanza, kuhusu kujihisi kukosa upendo au kuhisi kutopendwa, ni kawaida kwa watu wengi kujiuliza maswali hayo. Lakini, thamani yako haiwezi kupimwa kwa kuwa na mpenzi au kwa mapenzi kutoka kwa mtu mwingine. Wewe ni wa thamani kwa jinsi ulivyo, hata kama hujaona bado. Upendo wa kweli huanza na kujipenda mwenyewe. Kujaribu kuelewa kwa undani wewe ni nani na unachohitaji maishani inaweza kuwa hatua ya kwanza nzuri.

Pili, hisia za kutaka kifo au kufikiri kwamba maisha hayana thamani zinaweza kuwa za muda mfupi, hasa ukiwa kwenye hali ya msongo mkubwa. Kama unapata changamoto kubwa kiasi cha kuhitaji msaada wa kitaalamu, usisite kuwasiliana na mshauri wa saikolojia au hata kiongozi wa kidini unayemwamini. Wao wanaweza kukusaidia kuelewa zaidi unachopitia na kukupa njia za kushinda hali hiyo.

Credits ChartGpt
 
Habari
Mimi sio muandishi mzuri lakini nitaelezea kama ilivyo. Umri wangu bdo 20s lakini napitia depression Yaani msongo wa mawazo.

Sina mtoto na sijui kama nitakua nae maana hamna demu ananitaka maybe jinsi nilivyo and love is only thing make life worth living... Inafikia hatua nawaonea wivu wanaokufa naona Bora ningekua Mimi...

Nimechoka kuishi na kujiua siwezi maana nimekulia kwenye dini....nawaza nimekosea wapi au ni laana, kama Kuna mtu aliwahi kupitia Hali kama yangu aniambie aliwezaje ku survive. Nahitaji ushauri🙏



What you reveal you can heal.

Je katika haya mambo unapitia nini?

Mahusiano
Uchumi
Kazi
Afya ya mwili na Akili.


Tuambie kipi kinakusumbua


Ushauri
Nimeaona umesema love is something that makes life Worth

Jibu-ni kuwa hili uanze kuona the power of love jitahidi uanze kupenda watu Ila usisubiri watu wakupende wewe.

Mfano hapo ulipo kuanzia mtandaoni hadi mtaani jaribu kuwa unatoa compliments kwa watu.

Jaribu kuwa unasaidia wahitaji
Jaribu kuwa closed with ur family father or mother .

Then practice third hand method

Maisha huwa ni vile unatoa ukitoa upendo kwa watu you will receive it with interest .

Kama haupendi na hautoi upendo utaishia kupendwa na wazazi tu

Kila kitu unabidi ujitoe in positive way

Get involved in things you love
Give back
Find inspiration
Be yourself
 
Mkuu huna tatizo na wala usihofu hata kidogo, msongo ni kipimo cha kuonesha kuna namna unapaswa kuwa ila haujawa bado ndiyo maana unajisikia unavyojisikia. Usitafute faraja zaidi ya kujikubali na kukubali kuwa wewe ni msimamizi wa maisha yako na mtawala wa akili yako.

Hayupo wa kukusaidia usipojisaidia kwanza wewe mwenyewe kwa kujipa kile unachokihitaji haswaa ndani yako. Jiulize tu ukikaa peke yako ndani yako unajisikiaje? Trust me, kuna picha fulani nzuri ya maisha yako ulishaiona ila mazingira yanakuonesha vitu tofauti.

Usikubali kuliwazwa Wala kujiliwaza kama hujapata ukitakacho. Chagua njia ngumu ya kuamua kuwa vile ulivyoona tangu mwanzo ndani yako bila kujali unakutana na ugumu kiasi gani.

Sitaki kukushauri ushauri ambao nauita "dawa ya kutuliza maumivu" ila natamami sana utambue kuwa dawa ya kudumu ni wewe mwenyewe na siyo kubembelezwa "comfort zone". Narudia tena unajisikia msingi Kwa sababu kuna kitu kipo ndani yako na ulishaiona ila hujakifanya bado na dawa yake ni kukifanya tu haya mengine tutasumbuana bure.

Kumbuka mtu ni mtawala wa maisha yake hata kama akiwa katika hali dhalili kiasi gani. Usitegemee sana watu wa nje kuyatawala au kuyasimamia maisha yako. Wewe ni wewe ndani yako.

Usitegemee sana watia hamasa "motivational speakers" kukupa hamasa kama hauna hamasa ndani yako. Tumia hamasa yako kuhamasika na kuendelea. Hamasa ya nje inapaswa kuwa kama kiberiti cha kuwasha moto katika kile kilichomo ndani yako "self motive".
Ushauri mzuri mkuu.🙏
 
What you reveal you can heal.

Je katika haya mambo unapitia nini?

Mahusiano
Uchumi
Kazi
Afya ya mwili na Akili.


Tuambie kipi kinakusumbua


Ushauri
Nimeaona umesema love is something that make life Worth

Jibu-ni kuwa hili uanze kuona the power of love jitahidi uanze kupenda watu Ila usisubiri watu wakupende wewe.

Mfano hapo ulipo kuanzia mtandaoni hadi mtaani jaribu kuwa unatoa compliments kwa watu.

Jaribu kuwa unasaidia wahitaji
Jaribu kuwa closed with ur family father or mother .

Then practice third hand method

Maisha huwa ni vile unatoa ukitoa upendo kwa watu you will receive it with interest .

Kama haupendi na hautoi upendo utaishia kupendwa na wazazi tu

Kila kitu unabidi ujitoe in positive way

Get involved in things you love
Give back
Find inspiration
Be yourself
Asisahau pia kujipenda mwenyewe. Huwenda ndio kitu amekosa, plus akizingatia ushauri wako ataishi kwa amani.
 
Nikajua unapitia hali ngumu ya maisha kumbe kukosa wanawake, bado una utoto.
 
kwa majibu yaliyotangulia hapo juu hakika umeshapata tiba na umepona, haya inuka ukatafte pesa. kufa usiwe na haraka napo, utakufa tu mda ukifika, tafta pesa kwanza, acha ulalamishi, alafu angalia na hilo la kukulia katika dini, hukuelewa chochote kuhusu dini.
 
Chalii angu we tafuta hela arawa mademu watakupenda kinyama we ni balehe inakusumbua,ukikua utakuja kufananisha mademu na mashetani

Tafuta besaaa
hivi,hizo hela zikatafutwa uwa ni shiling ngapi hata zitamfanya mtu asiwe na hisia na vitu vingine?.
 
Back
Top Bottom