Naweka bet Simba aka underdog akimfunga Al Ahly natoa dadangu mje mumchukue


Acha ujinga weka picha ya dada yako tumuone kwanza usijetupa bibi bure lenye watt kibao mzigo wako bakia nao


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu unamdhalilisha dada na si jambo jema,japo Mikia wanakufa 3+
 
Hii ni sawa na Rais wa Somalia atoe ahadi ya kutoa Lamborgin kwa kila mchezaji wa timu ya Taifa iwapo watafuzu kombe la Dunia.
 
Km mtaani kwenu wamemshindwa sie tumchukue wa nini, mpambanie kwanza mtaani kwenu wamtake, miguu yenyewe nahisi itakuwa kama ya Tambwe ndio maana wamfanyia promo,kama kawa shindikana wapelekee ndala wenzako
 
Khamsa plus thalatha..Engineerrrrr ngapi hapoooooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…