Naweka dau laki 3; Yanga hatoki kwa Al Hilal

Hawa jamaa (Al-Hilal) nasikia wameshinda kwa tuta, ndio wanasifiwa namna hii!
 
Mpenzi wa soka pale anapozungumzia soka pasipo mihemko wala mapenzi [emoji119].

This is maturity.
 
Unaijua Al hilal kweli kama kibonde vipers alikubamiza 2 Al hilal si atakupiga 3mara 2
Mkuu kwenye football hamna cross multiplication.

Eti kwa sababu huyu alimfunga huyu basi na huyu atamfunga huyu hiko kitu hamna.

Arsenal amefungwa na united, Brentford akamfunga united na pia Brentford akafungwa na Arsenal huo ndio mpira.

Acha muda uongee.
 
Sasa
unazani Al Hilal wangepewa zalan si wangempiga 100-0. wao walianza na st george washindani kweli kweli sio zalan na mechi zao zilikuw na home na away sio kwa mkapa zote mbili.
Hebu tutumie hesabu zako: Simba kamfunga St George 2, afu kufungwa na Al hilal 1. Hapo hapo Hilal gemu moja KAPIGWA na kibonde wa Simba 2-1, kabla ya kupata ushindi wa taabu goli 1 nyumbani. Huoni kwa hiyo system yako ya analysis Yanga ni bora kuliko wote hao? Kamnyuka Simba 2 - 1 bila majibu.
 
Naongeza 50
 

Ukijua huwezi kufanya upuuzi huo πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† kama mlivyo fanya nyinyi memelizalilisha taifa.

Ukijua unaju hata uanzie wapi.
 
Siku ya mechi, utaibukiwa kama mwewe
 
Hyo hilal imepitajepitaje om and away alifanyaje

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wanaanza lini kukutana Kwanza tuanze hapo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…