LGE2024 Naweka kumbukumbu sawa: mtaani kwenye Kampeni za Upinzani wahudhuriaji walikuwa 15 tu

LGE2024 Naweka kumbukumbu sawa: mtaani kwenye Kampeni za Upinzani wahudhuriaji walikuwa 15 tu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Ikiwa imebaki siku moja kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa tarehe 27.11.2024 ,naweka kumbukumbu sawa Ili usiwepo upotoshaji wakati wa kutangaza washindi.

Tukumbuke kuwa:

Mtaani ninapoishi watu ni waelewa na wafuatiliaji wazuri wa siasa. Watu wanaamini siasa ni maisha.

Mtaani kwetu miaka ya nyuma kulikuwa na ushindani mkubwa wa kisiasa kiasi kwamba katika Kila penye watu 100 ,thelathini kati yao ni wapinzani.

Mtaani kwetu, sasa Upinzani una hali mbaya sana

Mtaani kwetu uchaguzi wa Serikali za mitaa umetupatia picha kubwa ya hali mbaya iliyonayo Upinzani

Mtaani kwetu kampeni za Upinzani zilihudhuriwa na watu 15 na wengi wao hawakuwa na lengo la kuhudhuria bali ni wapita njia.

Mtaani kwetu , Upinzani ukishinda kesho ni muujiza wa ajabu.

Mtaani kwetu kulikuwa na kampeni za kistaarabu sana tofauti na zamani.

Hii ndio hali ya mtaani kwetu kuelekea tukio la kupiga kura siku ya kesho, nimeweka kumbukumbu sawa Ili wasije kusema walishinda.
 
Mtaani kwenu ni wapi pasipo na jina?
Pamefanyika mikutano mingapi ya kampeni?
Wewe umehudhuria mingapi?
Vipi wagombea wote waliojaza fomu wamerudishwa au pingamizi zilitumika?
Mtaa upo mjini au kijijini?
Taja mkoa, wilaya, kata etc ulipo huo mtaa
 
Mtaani kwenu kuna mgombea wa upinzani aliyebaki anagombea??
 
Mtaani kwenu ni wapi pasipo na jina?
Pamefanyika mikutano mingapi ya kampeni?
Wewe umehudhuria mingapi?
Vipi wagombea wote waliojaza fomu wamerudishwa au pingamizi zilitumika?
Mtaa upo mjini au kijijini?
Taja mkoa, wilaya, kata etc ulipo huo mtaa
Mtaani kwetu sitopataja hapa.

Palifanyika mikutano ya upinzani kabla ya wa Leo na huo uliogudhuriwa na watu 15 ndio ulipata wahudhuriaji wengi ndio maana nimeutumia huo

Nimuhudhuria mikutano 5 kwa vyama vyote, mitatu ya Upinzani na miwili
CCM

Kwa kuwa ni mtaani kwetu ni mjini
 
Mtaani kwetu sitopataja hapa.

Palifanyika mikutano ya upinzani kabla ya wa Leo na huo uliogudhuriwa na watu 15 ndio ulipata wahudhuriaji wengi ndio maana nimeutumia huo

Nimuhudhuria mikutano 5 kwa vyama vyote, mitatu ya Upinzani na miwili
CCM

Kwa kuwa ni mtaani kwetu ni mjini
Wapiga kura wangapi wamejiandikisha ambao wanategemewa kupiga kura kesho mtaani kwenu?
 
Mtaani kwetu sitopataja hapa.

Palifanyika mikutano ya upinzani kabla ya wa Leo na huo uliogudhuriwa na watu 15 ndio ulipata wahudhuriaji wengi ndio maana nimeutumia huo

Nimuhudhuria mikutano 5 kwa vyama vyote, mitatu ya Upinzani na miwili
CCM

Kwa kuwa ni mtaani kwetu ni mjini
Maelezo yako tu yanaonesha hujawahi kufanya utafiti/ research popote pale hapa duniani.
Unapima nguvu ya chama kwa kuangalia wingi wa watu tu kwenye kampeni?
Hujui kwamba kuna vyama vinasomba watu kwa MALORY??
 
Ikiwa imebaki siku moja kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa tarehe 27.11.2024 ,naweka kumbukumbu sawa Ili usiwepo upotoshaji wakati wa kutangaza washindi.

Tukumbuke kuwa:

Mtaani ninapoishi watu ni waelewa na wafuatiliaji wazuri wa siasa. Watu wanaamini siasa ni maisha.

Mtaani kwetu miaka ya nyuma kulikuwa na ushindani mkubwa wa kisiasa kiasi kwamba katika Kila penye watu 100 ,thelathini kati yao ni wapinzani.

Mtaani kwetu, sasa Upinzani una hali mbaya sana

Mtaani kwetu uchaguzi wa Serikali za mitaa umetupatia picha kubwa ya hali mbaya iliyonayo Upinzani

Mtaani kwetu kampeni za Upinzani zilihudhuriwa na watu 15 na wengi wao hawakuwa na lengo la kuhudhuria bali ni wapita njia.

Mtaani kwetu , Upinzani ukishinda kesho ni muujiza wa ajabu.

Mtaani kwetu kulikuwa na kampeni za kistaarabu sana tofauti na zamani.

Hii ndio hali ya mtaani kwetu kuelekea tukio la kupiga kura siku ya kesho, nimeweka kumbukumbu sawa Ili wasije kusema walishinda.
Mnapochukua watu mbozi wakahudhurie kampeni Tunduma huu ni uchaguzi WA viongozi wa Mtaa au wa mkoa? Watu wamechukuliwa Tukuyu kwenda Mbeya kwenye mkutano wa Ally Hapi!
 
Back
Top Bottom