Naweka Kumbukumbu Sawa, Murtaza Mangungu ni Mwana-CCM Kindakindaki, Wakili Kaluwa kutoboa ni ngumu sana

Naweka Kumbukumbu Sawa, Murtaza Mangungu ni Mwana-CCM Kindakindaki, Wakili Kaluwa kutoboa ni ngumu sana

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Wakuu kwema?

Leo Timu ya Simba SC inafanya uchaguzi wake wa Mwenyekiti wa Timu kupitia wanachama na pia Nafasi ya Wajumbe watano kuingia kwenye Board.

Katika wagombea wa nafasi ya Uenyekiti kupitia Wanachamna ni pamoja na Bwana Murtaza Mangungu ambae ndie Mwenyekiti anaemaliza muda wake. Huyu Bwana ni Kada na Kiongozi maarufu tu katika CCM akiwa pia amehudumu pia kama Mbunge kupitia chama hicho.

CCM imekua ikishinda uchaguzi kupitia mbinu mbalimbali tu ambazo nyinginezo hua zinakua za nje ya sanduku la kura (sizitaji). Tumekua tukiingia kwenye chaguzi ambazo zinahusisha CCM na kua kama tunakamilisha tu ratiba sababu mechi inakua ishachezwa kitambo tu.

Murtaza Mangungu kama mwana CCM kindakindaki ni wazi anazijua mbinu hizi. Hapa ni wazi kua Wakili Msomi Kaluwa kutoboa ni ngumu sana karibia na haiwezekani. Labda kwa Wajumbe kidogo kutakua na fairness lakini sio kwa nafasi ya Mwenyekiti.

Nawasilisha,
Jumapili Njema
 
90% ya wapiga kura wapo above 60 unategemea nn
JamiiForums1286145126.jpg
 
Wakuu kwema?

Leo Timu ya Simba S. C inafanya uchaguzi wake wa Mwenyekiti wa Timu kupitia wanachama na pia Nafasi ya Wajumbe watano kuingia kwenye Board.

Katika wagombea wa nafasi ya Uenyekiti kupitia Wanachamna ni pamoja na Bwana Murtaza Mangungu ambae ndie Mwenyekiti anaemaliza muda wake. Huyu Bwana ni Kada na Kiongozi maarufu tu katika CCM akiwa pia amehudumu pia kama Mbunge kupitia chama hicho.

CCM imekua ikishinda uchaguzi kupitia mbinu mbalimbali tu ambazo nyinginezo hua zinakua za nje ya sanduku la kura (sizitaji). Tumekua tukiingia kwenye chaguzi ambazo zinahusisha CCM na kua kama tunakamilisha tu ratiba sababu mechi inakua ishachezwa kitambo tu.

Murtaza Mangungu kama mwana CCM kindakindaki ni wazi anazijua mbinu hizi. Hapa ni wazi kua Wakili Msomi Kaluwa kutoboa ni ngumu sana karibia na haiwezekani. Labda kwa Wajumbe kidogo kutakua na fairness lakini sio kwa nafasi ya Mwenyekiti.

Nawasilisha,
Jumapili Njema
hiyo sio hoja,hoja ni kwamba mangungu ni yanga pure
 
hiyo sio hoja,hoja ni kwamba mangungu ni yanga pure
U Yanga wake sina uthibitisho au uhakika nao. Ila nachojua kumshinda kupitia sanduku la kura ni ngumu. Labda kura ya kupanga mstari watu wahesabiwe wazi wazi.

CCM wako vizuri sana kuchezea box kiasi cha kufanya zoezi zima la upigaji kura kua kiini macho na kutumiza formalities tu.
 
Back
Top Bottom