Naweka sawa nini maana ya Dini na Sayansi

Naweka sawa nini maana ya Dini na Sayansi

Isaya 7:14 "kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanaume, naye atamwita jina lake Imanueli"

Isaya 9:6 "maana kwa ajili yenu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume.
Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake ; naye ataitwa jina lake Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.

Pia
Isaya 9:6,
Isaya 53:3-5, 7,9,11,12
Kwahyo yesu ana majina mangapi?
 
Hapa ukizungumzia dini kama imani ya kuabudu utakosea, hapa inabidi tuzungumze kwa ujumla kama dini ni the way of life, na ndio maana nikasema kuwa kuna dini zilizotoka kwa muumba na kuna dini tulizo jichukulia maamuzi sasa dini za waafrika nyingi sana zilikuwa ni utashi wao tu! zilikuwa hazikuleta suluhisho la kimaumbile katika maisha, kwa sababu aliyetuumba sisi katuletea utaratibu wa kuutumia through manabii, na manabii walikuwa wana starting point ambapo ni middle east, sababu kila kitu huwa na starting point yake (pointi kianzio). Sasa unaposema wazungu na waarabu ni makafir utakuwa unajichanganya mwenyewe, imani ya waafrika kamwe haikuwahi kuwa nzuri kwa ushahidi wa history, mfano wa jamii zinazokeketa wasichana na zile jamii zilizokuwa zinatembea bila nguo, mfano jamii ya watu waliokuwa wanapatikana katika jangwa la kalahari, mpaka leo hii bado wannatembea hivyo.


Sasa unataka kuniambia imani ya waarab na wazungu ndiyo nzuri? Vile ni vitu vyao na ndiyo maana unaona kila nabii ndania ya vitabu vyao ni wa kwao tu, hakuna mwafrika hata mmoja ambaye ni nabii. History is always written for the victor na kwa wao (waarab na wazungu) sie waafrika tutaendelea kuonekana wapuuzi tu kufuata dini zao. Dini has nothing to do with human life, as a matter of fact....it is NOT important katika maisha yetu. Unasema dini za kiafrika zilikuwa ni utashi wao tu, je hizi dini za waarab na wazungu ziko vipi? Mbona vile vitabu vyao vimetungwa kwa manufaa yao tu, hujavisoma na kuvielewa au? Kwenye Qu'ran, hadithi zilizomo mle zote zinahusishwa na waarab wa kipindi kile cha karne ya 6, vitu don't make no sense ila bado watu wanashindwa kujiuliza. Ukisoma Torat, utaona imetungwa ama kuandikwa kwa upendeleo wa wayahudi tu. Nikuulize, hivi kweli kama Mungu ni baba yetu....kwanini awachague wayahudi tu kuwa ndiye wateule wake, sie wanadamu wengine je, tumelaaniwa? Kwenye dini kila mtu anavutia kwake (utashi wake), sasa sikuelewi unaposema dini za kiafrika zilikuwa ni utashi wao tu.
 
Back
Top Bottom