Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ada kwa mwaka haiwezi kuwa hiyoBumu 700k , ada 850k , Dar , 20%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ada kwa mwaka haiwezi kuwa hiyoBumu 700k , ada 850k , Dar , 20%
Huko mavyuoni kwao hiyo migahawa imejazana ,akiingia kwenye hiyo biashara ataangukia pua.Katafute kijana mkoani anayejua kupika chips vizuri.
Nunua jiko lako safi na kuchoma nyama tafuta location mpe hiyo kazi kijana.
Dar es Salaam watu wanapenda kula hovyo hovyo barabarani utawaokota tu.
Mtu anavyoongelea biashara mtandaoni huku ni simple simple tuu ila ukweli haupo hivo...Huko mavyuoni kwao hiyo migahawa imejazana ,akiingia kwenye hiyo biashara ataangukia pua.
Kwa maelezo yako sidhani kama kweli unasoma muhimbili.Hiyo ni ada ya semister moja mkuu , asante kwa ushauri wako
Tena wanafunzi wengi wanakula cafeteria za vyuoni kwao kwa sababu bei chee au wanapika maghetoni kwao.Mtu anavyoongelea biashara mtandaoni huku ni simple simple tuu ila ukweli haupo hivo...
Kweli kabisa. Mi sishauri kabisa mtu ajiingize kwenye biashara.Tena wanafunzi wengi wanakula cafeteria za vyuoni kwao kwa sababu bei chee au wanapika maghetoni kwao.
Kwa hiyo akiingia hiyo biashara ana asilimia kubwa ya kufeli.
Hii inategemea na kozi unayosoma na Chuo unachosoma.Ila kazi inahusisha zaidi promotion ya teknolojia za aina mbalimbaliHii inakuaje mkuu
Mkuu,katika biashara na ujasiriamali regardless of where kuangukia PUA huwa kupo.Ila huwezi kuangukia PUA just Because umeanzisha Biashara Chuoni n tayari kuna aina hiyo ya Biashara.Siku hizi biashara inahitaji Ubunifu kidogo kisha mambo mengine yanaendelea...Huko mavyuoni kwao hiyo migahawa imejazana ,akiingia kwenye hiyo biashara ataangukia pua.
Inategemea na biashara mkuu ukiweza kubalance coursework na biashara mambo zinaenda hata ukijamaliza una uzoevu mkubwaKweli kabisa. Mi sishauri kabisa mtu ajiingize kwenye biashara.
Mybe mda wa likizo ajue anafanya nini ila sio kama hawa wanaotoa ushauri wa ajabu.
Asilimia nyingi wanao ongea wapo mbali na mazingira ya chuo au walipitaga miaka hiyo.
Hawajui now mambo yamebadilika sana
Ushauri wangu tafuta mtu wa karibu ambae kwa namna moja au nyingine mnasaidiana katika kupambana na life iwe kaka yako, dada yako au rafiki yako wa ukweli(iwe life mnasongesha pamoja) ambae yeye kajikita kwenye biashara toka zamani wekeza nae uwe unamuezesha mtaji huku mkipanga mipango ya baadae unaweza pata backup ya ada au matumizi mengine huku mipango ikiendeleaWakuu kwema
Naombeni ushauri wa kimawazo , mimi nilikosa tuition fee nina bumu tu.
Kozi yangu ni ya miaka mitano , uwezo wa kiuchumi upo chini, nilikata rufaa kuomba mkopo upya sikupata .
Nawaza labda Kuna namna pesa hii ya meal and accomodations inaweza tumika kwenye biashara fulani then ikanisaidia kulipa ada,
Awali nilikopa ada , bumu lilipokuja nikalipa nikakopa tena.
msaada wa kimawazo naombeni.
Atafute site nje kidogo ya chuoHuko mavyuoni kwao hiyo migahawa imejazana ,akiingia kwenye hiyo biashara ataangukia pua.
Anunue jagi lile la kuchemsha maji, chai mkate mwanzo mwsho...Tumia bumu kulipa karo! Shindia mkate na maji na kupiga vizinga wasamaria na wasiojielewa! Mwisho wa siku utamaliza bila kusahau kuomba Mungu
😂😂😂😂😂😂 Kweli... !!!?Inategemea na biashara mkuu ukiweza kubalance coursework na biashara mambo zinaenda hata ukijamaliza una uzoevu mkubwa
Naongea kutokana na uzoefu
Hizo fursa ni zipi tupe Sisi wenye kozi rahisi za miaka mitatuKuna fursa nyingine ila kwa mwanafunzi wa udaktari hutaweza kubalance.Unahitaji Mtu na kwa hiyo hela ukiweka Mtu maisha yatazidi kuwa TIGHT.Kama Ungeweza Kubadili kzoi utafute kozi ya miaka 3 then udaktari utashughulika nao kwa wakati.Shida vyuo vya Bongo havina Endowment Funds na hata zikiwepo Wakuu wa vyuo watazipiga tu ila kwa Situation yako ingekuwepo endowment fund mambo yangeenda vizuri kabisa
Mkuu nimehint kwenye comment.Ni fursa za kupromote teknolojia na Products mpya sokoni kama uko interested tuwasiliane.Hizo fursa ni zipi tupe Sisi wenye kozi rahisi za miaka mitatu
Niko interested Sana watsap 0653201698Mkuu nimehint kwenye comment.Ni fursa za kupromote teknolojia na Products mpya sokoni kama uko interested tuwasiliane.