Anzisha Karakana ya teknolojia. Uwe unaunda vitu kama water pump, jiko la kupikia, na mashine mbalimbali...Habari wana jukwaa wenzangu...
Nimepata fund kutoka kwa ndugu yangu wa karibu na amenitaka nipresent viable business idea and its plan as well ..
Nimejaribu kujiongeza kwa kujifunza hali ya kiuchumi na kisiasa tuliyonayo kwa sasa hapa nchini nikajikuta napoteza idea zote..
Tafadhali naombeni mwongozo wenu
...... Nawasilisha ......
kwanini pm ? msaidie open na wengine wafaidike: ni ushauri tuKama unaweza kufanya kuinvest project ya kuanzia mwaka 1 mpaka mmoja na nusu na ukasahau umaskini maishani mwako nicheki PM. Ni uhakika na haina hasara mkuu.
Yamifugo au[emoji4]Uza madawa
Hiyo idea ya laki tatu inaweza watoa watanzania wengi mkuu, hebu share nasi hiyo kitu.Hiyo hela ni nyingi mno, nakupa idea ya laki 3 tu
Mkuu we ita tapeli, jambazi, vyovyote ruksa. Lakini siku ukijua ulipoteza nafasi utanielewaHivi inakuaje mawazo ya biashara mtu anamwambia muomba ushauli amchek PM?weka hapa kwa faida ya waTanzania wenzako pia,unaposema njoo PM tukikuita wewe ni tapeli tutakua tunasema ulongo?
Nani kapoteza nafasi?kweni unanijua nini nafanya mpaka useme nipoteze nafasi kwako wewe?tunajuana?yamkini wewe ndo ukawa unapoteza nafasiMkuu we ita tapeli, jambazi, vyovyote ruksa. Lakini siku ukijua ulipoteza nafasi utanielewa