Naweza kuhamia chuo cha Serikali maana chuo ninachosoma sasa kina ada kubwa sana!

Naweza kuhamia chuo cha Serikali maana chuo ninachosoma sasa kina ada kubwa sana!

mimi45

Member
Joined
Feb 22, 2025
Posts
7
Reaction score
6
Habari zenu. Natumaini wote ni wazima wa afya.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, mm nimehitimu kidato cha nne mwaka 2021 shule ya serikali katika wilaya ndogo sana hapa nchini.

Ni shule ambayo haikuwah kuwa na historia ya kuwa na mwanafunz mweny single digit tangu inaanzishwa miaka ya 90's mpaka pale nilipokuja kuivunja rekod iyo kwa kupata 1.7 pekee kwa shule zote za kata.

Tofauti na ambavyo wengi tulitegemea kwamba ntapangiwa shule za vipaji, lakini haikuwa ivo, nilipelekw shule mbovu mno🥺 pale njombe vijijin. Niliumia sana kuona hata waliopata dvn 2 pale shulen wamepelekwa shule nzuri.

And mostly nilipangiwa comb ambayo sikuwa na malengo nayo (PCB) maana nilipenda sana PCM, sikuwa na jinsi zaidi ya kuhama shule na kwenda shule fulani pale iringa mjini.

Nimesoma nikamaliza six na kupata 1.6😞 katika process ya kuomba vyuo nikatemwa kama round zote, nikaja kupata round ya 3 chuo cha kampala. Sikuwa na jinsi sasa zaidi ya kwenda.

Ila sasa naona kabisa ada itanimaliza. Nasoma MD na ada n 7.7M, japo nmepata mkopo lakini haufiki hata asilimia 1 ya ada🥺🥺

Naombeni ushauri wakuu kama naweza kuhama chuo nihamie ata chuo cha serikali kama wanaweza kunipokea, maana inanipa stress mno kuona namna ambavyo wazazi wangu wanapambana na iyo ada meanwhile ni wakulima tu, ukizingatia ndo niko mwaka wa kwanza.
 
Mkuu mimi umeniacha njiani ,umesema ulikua unapenda PCM ila ulipangwa PCB ukaoma uhamie shule nyingine ukapata 1.6 then chuo umeenda soma MD ambayo kigezo ni PCB.

Ushauri wangu nenda mamlaka husika nadhani hakishindikani kitu,je unao mkopo?
 
Habari zenu. Natumaini wote ni wazima wa afya.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, mm nimehitimu kidato cha nne mwaka 2021 shule ya serikali katika wilaya ndogo sana hapa nchini.

Ni shule ambayo haikuwah kuwa na historia ya kuwa na mwanafunz mweny single digit tangu inaanzishwa miaka ya 90's mpaka pale nilipokuja kuivunja rekod iyo kwa kupata 1.7 pekee kwa shule zote za kata.

Tofauti na ambavyo wengi tulitegemea kwamba ntapangiwa shule za vipaji, lakini haikuwa ivo, nilipelekw shule mbovu mno🥺 pale njombe vijijin. Niliumia sana kuona hata waliopata dvn 2 pale shulen wamepelekwa shule nzuri.

And mostly nilipangiwa comb ambayo sikuwa na malengo nayo (PCB) maana nilipenda sana PCM, sikuwa na jinsi zaidi ya kuhama shule na kwenda shule fulani pale iringa mjini.

Nimesoma nikamaliza six na kupata 1.6😞 katika process ya kuomba vyuo nikatemwa kama round zote, nikaja kupata round ya 3 chuo cha kampala. Sikuwa na jinsi sasa zaidi ya kwenda.

Ila sasa naona kabisa ada itanimaliza. Nasoma MD na ada n 7.7M, japo nmepata mkopo lakini haufiki hata asilimia 1 ya ada🥺🥺

Naombeni ushauri wakuu kama naweza kuhama chuo nihamie ata chuo cha serikali kama wanaweza kunipokea, maana inanipa stress mno kuona namna ambavyo wazazi wangu wanapambana na iyo ada meanwhile ni wakulima tu, ukizingatia ndo niko mwaka wa kwanza.
Pole sana
 
Kupata 1 ya 7 bado haiakisi upelekwe vipaji? Inategemea kwenye masomo ya sayansi ulibutua vipi, na km ulipelekwa PCB, ikiwa unataka PCM si kuna kubadilisha comb hapo hapo shule?

1 ya 6 advance, MD kwa Muhimbili unaweza kosa, ila ungejaribu KCMC na Bugando mbna ungepata.

Nweii nenda kwenye mamalaka husika utapata muongozo sahihi.
 
Nenda kwa mkuu wa chuo omba kuacha chuo. Nenda TCU fanya deregistration haraka.
Baada ya hapo apply kozi ya BCom Accounting UDSM au BSc Accounting and Finance Ardhi.
Utakua umemaliza kazi
 
Mkuu mimi umeniacha njiani ,umesema ulikua unapenda PCM ila ulipangwa PCB ukaoma uhamie shule nyingine ukapata 1.6 then chuo umeenda soma MD ambayo kigezo ni PCB.

Ushauri wangu nenda mamlaka husika nadhani hakishindikani kitu,je unao mkopo?
Of coz sikubadili kozi,nikabaki PCB iyo iyo.
Na mkopo nmepata japo haifiki ata asilimia 1 ya ada ya chuo cha kampala kwa kozi ya udaktari
 
Kupata 1 ya 7 bado haiakisi upelekwe vipaji? Inategemea kwenye masomo ya sayansi ulibutua vipi, na km ulipelekwa PCB, ikiwa unataka PCM si kuna kubadilisha comb hapo hapo shule?

1 ya 6 advance, MD kwa Muhimbili unaweza kosa, ila ungejaribu KCMC na Bugando mbna ungepata.

Nweii nenda kwenye mamalaka husika utapata muongozo sahihi.
Asante kwa ushauri
 
Nenda kwa mkuu wa chuo omba kuacha chuo. Nenda TCU fanya deregistration haraka.
Baada ya hapo apply kozi ya BCom Accounting UDSM au BSc Accounting and Finance Ardhi.
Utakua umemaliza kazi
Application kwa hivyo vyuo bado ziko open had sasa?
 
Of coz sikubadili kozi,nikabaki PCB iyo iyo.
Na mkopo nmepata japo haifiki ata asilimia 1 ya ada ya chuo cha kampala kwa kozi ya udaktari
Mkopo usiofika asilimia 1 ni wa aina gani huo mkuu?
 
Of coz sikubadili kozi,nikabaki PCB iyo iyo.
Na mkopo nmepata japo haifiki ata asilimia 1 ya ada ya chuo cha kampala kwa kozi ya udaktari
PCB ni kozi au combination? Kijana wewe ni miongoni mwa vijana wa sasa wanaofanya tuone hizi division 1 za sasa ni za mchongo. Hukujua kuwa kuna kozi ambazo ushindani ni mkali sana wanachukua mwisho 1.5? Mambo uliyoyauliza yote yapo ndani ya uwezo wako kuyashughulikia.
 
Back
Top Bottom