Unaweza kabisa; usiogope kujenga kwanza chumba self contained, sehemu ya kupikia, na sebule ndogo - kitu kama a studio flat, huku ukiwa na ramani nzima ambayo utaimalizia taratibu hata ukishahamia humo. lakini siri kubwa ya mafanikio pia ni procurement - simamia kila kitu, kuanzia kufuata kokoto, mpaka kusimamia every step ya ujenzi unaondelea pale;that way uta save cost by half. Kama utasimamia kwa mtindo huu, with 20 million today in Dar, u can build a very nice house with two bedrooms, a bathroom, kitchen and living room.