Unajua Abd. watu wengi wanapenda tu kusema nikiwa na shillingi kadhaa naweza fanya hiki? Ukweli ni kama yawezekana,lakini ujenzi ni fani kama fani nyingine kama vile utabibu,uwanasheria na kadhalika!
Nimekua kwenye industry ya kujenga kama mtaalamu na pia kama mjasiliamali kwa gd number of yrs,pamoja na pesa watu huwa wanasahau kitu cha muhimu kabisa na basic nacho tunakiita
Conception stage hii ni stage ambayo muhimu na ambayo anaetaka kujenga anatakiwa atoe idea yake nini anataka na kiwe wapi kulingana na mahitaji yake,bila hata ya kuenda stage nyingine wataalamu tutamshauri na kumwambia pesa inatosha au la!
Jamani is a professional thing!
Tunaamini kila mtu aweza kujenga lakini mtaaalum atajenga kwenye reasonable cost na acceptable quality!
Good day!