ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,767
- 6,575
mungu awabariki ,kale kahela nilikala :frusty::frusty::frusty: nataka nijipange tena :amen::smile-big:
ujue kabisa na gharama imebadilika mkuu..:A S-confused1:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mungu awabariki ,kale kahela nilikala :frusty::frusty::frusty: nataka nijipange tena :amen::smile-big:
Mbona hujaweka NONDO
Nondo mm12 ni Tzs 19,500 kwa Nondo Moja
mungu awabariki ,kale kahela nilikala :frusty::frusty::frusty: nataka nijipange tena :amen::smile-big:
mungu awabariki ,kale kahela nilikala :frusty::frusty::frusty: nataka nijipange tena :amen::smile-big:
jamani siwezi kujenga nyumba ya vyumba vinne hapo dar kwa milioni 20????niambieni kama siwezi kabla sijaipoteza hii pesa...
thanks,
Kwa kuwa kiwanja unacho millioni 20 mbona unahamia kwenye nyumba lakini finishing hutamaliza. Angalia mgawanyo wa gharama ( I assume uko Dar es Salaam na nyumba unayojenga ni ya mtu anayejenga nyumba yake ya kwanza):
- Matofali 5,000 @700=TZS3,500,000
- Mafundi (kujenga toka msingi mpaka kuezeka)=4,000,000/=
- Cement mifuko 150 @15,000=2,250,000/=
- Mbao zote TZS4,000,000/=
- Bati 60 @ 15,000=900,000/=
- Fundi umeme na vifaa vyake=5,000,000/=
- Finishing (madirisha na milango)=5,000,000/=
- Finishing (plastering + ceiling works)=5,000,000/=
Kaka wapi tofali la tshs 700? Au la udongo na sio cement?
jamani kule chanika nje ya mji kuna mradi wa nyumba. Ni nyumba nyingi sana na wanaojenga ni wachina, sasa point yangu ni hii. Zile nyumba ziko poa ingawa ni ndogo ndogo. kuna za room mbili pamoja na jiko na sebule ila zingine ni room tatu hadi nne. Sasa mafundi kwa mliokwisha ziona zile nyumba kule kwa experience yenu zinaweza kugharimu shilingi ngapi. mafundi na wote mliopo kwenye sector ya ujenzi naomba mtusaidie. nawasilisha asanteni
Kabla hujachangia kwanza angalia hii thread ni ya mwaka 2011 so kwa wakati huo hizo bei zilikuwa valid
Maliwato vipi au ndio akagonge kwa jirani?
Hujakosea ndugu yangu yoote nimeafiki ila tatizo linalokuja hata kutoa hiyo elimu kuna taabu nyingi,uelewa wa watu unatofautiana na wengi wa wenye kuelewa haraka hawapo ktk nafasi muhimu za kuweza badili njia.Sasa waliobaki ni wale walioktk tabaka la walionazo na walio na influence.
Hatuna ujanja hapa tunatakiwa kulijua soko kwa haraka sana, haraka inayozidi hii haraka ya ubadilikaji wa mambo ili tuweze kuikuta dunia na kuanza kwenda nayo. Na pia hatutoweza fika kwa pamoja nchi nzima na wengine hatutofika kabisa.
Ndio maana ninasema elimu sahihi na kuachia time iamue tutakuwa wapi.Tutakuwa uchochoro wa wenzetu kwa kipindi kwani hatuna ujanja. Cha msingi ni kujaribu punguza madhara ya kupokonywa vyote kabla hatujazibuka. Yaani hata hao vipofu wakitupwa mjini wengi kama watafuata njia tofauti ipo chance baadhi wakapona pengine wataanguka ktk rescue team, wengine wataanguka mashimoni wengine watagongwa, etc.
Hapa kidogo nataka elezea kidogo concept ya adapatability na evolution kwa maan isiyo ya kibayojoa sana. Yaani wapo watakaojifunza mazingira na kuweza jua watakavyojibadili na kuweza yatumia kwa faida ya upande wao. Ila bado hatutafika pamoja na mwishowe tutakuwa na ugonjwa mwingine wa kutibu yaani kuwa na watu wachache walioshikilia uchumi uliokuwa km ilivyo kwa nchi km India, South Africa etc. Si muda mrefu utakuta watu chini ya 10% wakishikilia 99.999% ya uchumi wa nchi inayoweza itwa imepiga hatua. Pengine tutakuwa tumerusha rocket anga za juu, tunauza bidhaa na elimu, tuna neuclear na mengine wanayoweza angalia nayo nguvu ya taifa. Ila yote yakabaki kwa vigogo.
Bado ni bora hata hao wachache waokoe kila kitu then baadaye tuanze fanya mabadiliko ya ndani km dilution ili kupata mchanganyiko safi na baadaye kuweza poteza hii sumu ya ujinga.
jamani kule chanika nje ya mji kuna mradi wa nyumba. Ni nyumba nyingi sana na wanaojenga ni wachina, sasa point yangu ni hii. Zile nyumba ziko poa ingawa ni ndogo ndogo. kuna za room mbili pamoja na jiko na sebule ila zingine ni room tatu hadi nne. Sasa mafundi kwa mliokwisha ziona zile nyumba kule kwa experience yenu zinaweza kugharimu shilingi ngapi. mafundi na wote mliopo kwenye sector ya ujenzi naomba mtusaidie. nawasilisha asanteni
Wandugu kuna anaejua kuhusu hizo nyumba za Chanika?
Mimi ningekuwa wewe wala nisingeanza kupanga mipango ya kujenga nyumba. Ningeanza biashara ya kusafirisha nguruwe kwa mchanganuo huu hapa chini
1. Nguruwe 150 wadogo @ 10,000
2.Chakula (mashudu) Tshs 5,000 kwa mwezi kwa nguruwe mmoja
3.Ujenzi wa mabanda Tshs 250,000
4.Mlinzi Tshs 20,000 kwa mwezi
5.Matibabu Tshs 30,000 kwa mwezi.
Nguruwe huchukua miezi 6-8 kwabla ya kuanza kuuzwa. Kwakweli ni biashara nzuri sana na ndani ya miaka miwili unaweza kuwa na hela chafu kiasi cha kugombewa na mademu kama mpira wa kona.
Tatizo nguruwe ni haramu hata kwenye biblia wameeleza.