Jibu swali kiswahili fasaha we cha nini ?Hiyo heading dah!
IVI
UYU
Kiswahili fasaha kinazidi kupotea kwa kasi ya ajabu aisee!
Mad Max, yawezekana dada haipendi bhangi! pamoja na kuwa unaona haina kasoroYaani sijui lini watu mtakuja kugundua kwamba bhangi haina uhusiano na ukorofi, wizi, ukibaka, ugomvi n.k.
Sista, asilimia kubwa ya wanaovuta bhangi ni wastaarabu kinoma. Ukweli nakuambia.
Tatizo ni poda. Uko ukianza hauchomoi na unapotea mazima.
Mpe nafasi mshikaji, huwezi jua alianza kwanini, yaan unataka umpoteze soul mate kisa cha kitoto hivo. Give a try madam. All the best.
Iyo dah! Unamaanisha nini ni kiswahili fasaha nacho au sioHiyo heading dah!
IVI
UYU
Kiswahili fasaha kinazidi kupotea kwa kasi ya ajabu aisee!
Wewe unavuta bila shakaYaani sijui lini watu mtakuja kugundua kwamba bhangi haina uhusiano na ukorofi, wizi, ukibaka, ugomvi n.k.
Sista, asilimia kubwa ya wanaovuta bhangi ni wastaarabu kinoma. Ukweli nakuambia.
Tatizo ni poda. Uko ukianza hauchomoi na unapotea mazima.
Mpe nafasi mshikaji, huwezi jua alianza kwanini, yaan unataka umpoteze soul mate kisa cha kitoto hivo. Give a try madam. All the best.
🤣🤣🤣Wewe unavuta bila shaka
Maana sio kwa kuitetea huko
Na aisee kiswahili fasaha nacho unajua unapomkosoa mtu wewe uwe umekamilikHiyo heading dah!
IVI
UYU
Kiswahili fasaha kinazidi kupotea kwa kasi ya ajabu aisee!