Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kwahiyo ndio maana siku hizi umenilia gunzi kisa sitaki kuacha shada?Mmmh!pole
Kuwa na mtu anayevuta bangi nao ni mtihani
Kama anakupenda kama unavyosema anaweza kubadilika kwa ajili yako
Weka jitihada abadilike