Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Muda mchacheHiyo heading dah!
IVI
UYU
Kiswahili fasaha kinazidi kupotea kwa kasi ya ajabu aisee!
Hakika kabisaaah.Yaani sijui lini watu mtakuja kugundua kwamba bhangi haina uhusiano na ukorofi, wizi, ukibaka, ugomvi n.k.
Sista, asilimia kubwa ya wanaovuta bhangi ni wastaarabu kinoma. Ukweli nakuambia.
Tatizo ni poda. Uko ukianza hauchomoi na unapotea mazima.
Mpe nafasi mshikaji, huwezi jua alianza kwanini, yaan unataka umpoteze soul mate kisa cha kitoto hivo. Give a try madam. All the best.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bange sio shida beibe hata serikali ipo mbiuni kuruhusu zivutwe na kulimwa, kikubwa ale chakula vizuri, na show ya mvuta bangi vumbi la Congo linasubiri.. just enjoy show
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unavuta bila shaka
Dea wee hutaki mvuta bangi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh!pole
Kuwa na mtu anayevuta bangi nao ni mtihani
Kama anakupenda kama unavyosema anaweza kubadilika kwa ajili yako
Weka jitihada abadilike
Simtaki aseeDea wee hutaki mvuta bangi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]