Naweza kuongeza uwezo wa kufikiri?

Naweza kuongeza uwezo wa kufikiri?

Uwezo wa wazungu unatokana na fursa wanayopata ya kujua mambo mengi in general. Mfano, Mwafrika wa kawaida anaweza akawa na akili sana lakini hajui kutumia computer au kupata nafasi ya kuyafahamu mambo mbali mbali ya kidunia kupitia Internet, magazeti na kusoma vitabu sana. Hii inatokana na mifumo yetu ya elimu na pia tunakokulia. Tofauti na hivyo, Wazungu, in general wana opportunity kubwa ya kupata vitabu au kutumia internet tangu wakiwa wadogo kabisa na hivyo kujua mambo mengi akiwa bado mdogo. Mimi nadhani Waafrika tuna uwezo mkubwa wa kufikiri kama wao ila tunachokosa ni fursa. Pia, uwezo wa kufikiri unaweza kuongezeka kama kwanza utakubali madhaifu yako na nguvu zako kisha kufikiri positively. Ukizidi kufikiri kushindwa, utashindwa na kama utafikiri mafanikio, utafanikiwa. Labda cha muhimu ni kufanya mazowezi ya mara kwa mara ya kufikiri na hii inasaidiwa kwa kushiriki katika mijadala kama wenzangu walivyosema. Mada au kufikiri kwako lazima ujitahidi kuendane na umri wako au zaidi.
 
Uwezo wa wazungu unatokana na fursa wanayopata ya kujua mambo mengi in general. Mfano, Mwafrika wa kawaida anaweza akawa na akili sana lakini hajui kutumia computer au kupata nafasi ya kuyafahamu mambo mbali mbali ya kidunia kupitia Internet, magazeti na kusoma vitabu sana. Hii inatokana na mifumo yetu ya elimu na pia tunakokulia. Tofauti na hivyo, Wazungu, in general wana opportunity kubwa ya kupata vitabu au kutumia internet tangu wakiwa wadogo kabisa na hivyo kujua mambo mengi akiwa bado mdogo. Mimi nadhani Waafrika tuna uwezo mkubwa wa kufikiri kama wao ila tunachokosa ni fursa. Pia, uwezo wa kufikiri unaweza kuongezeka kama kwanza utakubali madhaifu yako na nguvu zako kisha kufikiri positively. Ukizidi kufikiri kushindwa, utashindwa na kama utafikiri mafanikio, utafanikiwa. Labda cha muhimu ni kufanya mazowezi ya mara kwa mara ya kufikiri na hii inasaidiwa kwa kushiriki katika mijadala kama wenzangu walivyosema. Mada au kufikiri kwako lazima ujitahidi kuendane na umri wako au zaidi.


nakubaliana na wewe 100%
 
kuna uwezekano wa binadamu kuongeza uwezo wake wa kufikiri,pls help
......................wazo tuu la kuwa na haja ya kuongeza uwezo wa kufikiri,tayari umejiongezea uwezo kwani utakuwa tayari umejifanyia tathmnini na kuona kuwa una uwezo kiasi fulani,hivyo unahitaji kufikia kiasi fulani ndo hata kuona kuwa wazungu uliofanya kazi nao wanauwezo kuliko wewe................ushauri wangu,jitahidi hiyo kiu yako isikutoke,.....kadri kiu inapokuwa kubwa ndo jinsi uwezo unavyokuwa mkubwa................,kuna watu wengine hata hilo walo la kuongeza uwezo wa kufikiri hawana,.......nikupe hongera uwezo wako ni mkubwa sana,kama huamini angali michango ktk mada hii,pamoja na huu wangu niliokupa.............,naamini nina uwezo mkubwa na wewe pia na ningependa kuuongeza,hata wewe pia.
 
invisible mimi ni 37 na ni mwanamke,uwezo wangu wa kuwaza unaweza kuwa sawa na wa mwanaume mwenye age yangu?halafu kwa nini wazungu uwezo wao uko juu sana,naongea hili kwa sababu nimefanya nao kazi na nimeona mwenyewe jinsi walivyo na uwezo mkubwa!!!!

Hili ndio tatizo lako kubwa kuliko uwezo mdogo wa kufikiri ulionaooo.........INFERIORITY COMPLEX, ungeomba kwanza ushauri wa kuondokana na hilo tatizo then utakuwa mwanzo mzuri sana......it implies kwamba hapo ulipo unaona hata kuongeza uwezo wako wa kufikiria ni kama next to impossible.........you are under fear and this is the number one obstacle in proper and relevant thinking
 
invisible mimi ni 37 na ni mwanamke,uwezo wangu wa kuwaza unaweza kuwa sawa na wa mwanaume mwenye age yangu?halafu kwa nini wazungu uwezo wao uko juu sana,naongea hili kwa sababu nimefanya nao kazi na nimeona mwenyewe jinsi walivyo na uwezo mkubwa!!!!

wao na sisi hatuna tofauti kwa maana ya uwezo wa kufikiri, kwani swala la uwezo wa kufikiri huusisha ubongo ambao unajazwa maarifa mbalimbali kipindi ambacho mwenye ubongo huo anaishi. ila tu unaweza kuwaona wazungu wanaakili kwa sababu ya aina ya maisha waishio wao kijana wa miaka 15 yupo exposed na vitu vingi sana ukimlinganisha na kijana wa kitanzania ambaye hajapata fursa hiyo laiti nasi tukipata fursa hizi pamoja na technolojia ya kutuwezesha kujua mambo mbalimbali na kuhoji na kupata masulihisho basi tungalikuwa wazuri zaidi katika fikra na maamuzi,
ukitaka kuthibitisha hili angalia pia watanzania ambao wamepata fursa mbalimbali na wapo exposed na mambo mengi, maarifa, wako vizuri sana katika tafakuri na maamuzi.

na kuhusu kuwa na fikra sawa na mwanaume mwenye aje yako tafiti zinaonesha mwanamke mwenye miaka fulani sawa na mwanaume, mwanamke ni mzuri zaidi katika fikra, isipokuwa malezi na makuzi huwafanya wanawake kujihisi hawawezi ama hawana fikra nzuri kama wanaume.
 
Mimi najua kama unataka kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri nakushauri ufanye yafuatayo ndugu:

1.kuwa vegeterian
2.acha aina zote za vilevi
3.fanya mazoezi ya viungo kwenye maeneo yenye hewa safi.
4.soma majarida mbalimbali yenye kujenga ufahamu mpya.
5.fanya meditation kwa mpangilio maalum .
6.kama utaweza jaribu kuongezea yoga kidogo kupata matokeo mazuri

Haya sasa kazi ni kwako mpendwa

kama vile umeshafahamu anajua yoga ni nini au hajui? au unajua anajua?
 
lakini mbona madaktari wengi kabla ya kufanya operation wanalewa kwanza???nafikiri pombe inaongeza uwezo wa kufikiri[/QUOT

walevi wengi wanakumbukumbu kweli na wengine wana akili sana na wazuri katika fani zao.baadhi ya walimu wa vyuo walevi wengine huingia darasani wakiwa wamepasha kidogo na bado wanamwaga nyanga za kufa mtu.nafiki kuna haja ya utafiti wa kitaalamu kuhusu wanywaji wa pombe na pombe .
 
Back
Top Bottom