Naweza kupata vibali vya Microfinance kwa mtaji wa Milioni 5?

ujuaji mwingi sana mkiwa JF,
huku uraiani mnagongeshwa vizuri tu na marejesho ya kausha damu a.k.a chupi mkononi
Itakua hujaelewa.

Mtaani zinatokea hizo ishu. Lakini kama mkifikishana kwenye sheria utakua kwenye disadvantage. Sioni haja ya wewe kuandika matusi ili uprove point yako.
 
Unaact kama loan shark.

Nimekua kwenye Fintech long enough kujua kua kwa taasisi kama wewe naweza kukukopa na ukashindwa niwajibisha kisheria.

Kisha nikazishtaki namna zako za kunidai na ukatakiwa kunilipa
Hayo utaongea ukiwa ushafwir kwanza
 
Nahitaji hyo ya kumlipa aliyekwisha anza biashara nitumie vibali vyake
 
Nenda benki kuu ukapate muongozo kamili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…