Naweza kusoma Computer Science ikiwa Mathematics nina F?

Naweza kusoma Computer Science ikiwa Mathematics nina F?

Habarini wana JF naombeni kuelimishwa je inawezekana kusoma computer sience ikiwa 4m4 math nilipa F na kama inawezekana ni kivipi au nifanyaje?
na kama haiwezekani nisome it inawezakua na maslah mazuri? Naombeni msaada na ushauri ahsanteni.

Nb: matokeo ni haya
CIV D
HST C
KISW C
ENG D
BIOS D
GEO D
MATH F
Computer science bila maths ni kazi bure.
 
Usisome kwa kuangalia maslahi, unaweza kwenda kuteseka na kupoteza muda, soma unachokipenda na unachoona unaweza kukimudu. Mengine utashauriwa na wataalamu
 
Naomba msaada wadau kwanini nikiserch data kweny Microsoft excel inakuja tofauti na ninachokiserch
 
Nenda kasome masomo ya Arts, kama Political Science
Umepasi vizuri huko, utajifunza kuwa muongeaji mjanjamjanja, na pia usisahau kadi ya chama...
Utadharau maoni yangu, lakini huko ndio kwenye mwanga.....
 
Kwa hongo ya ngono unaweza kusoma lolote Tanzania, ila internationally hutoboi!
 
Habarini wana JF naombeni kuelimishwa je inawezekana kusoma computer sience ikiwa 4m4 math nilipa F na kama inawezekana ni kivipi au nifanyaje?
na kama haiwezekani nisome it inawezakua na maslah mazuri? Naombeni msaada na ushauri ahsanteni.

Nb: matokeo ni haya
CIV D
HST C
KISW C
ENG D
BIOS D
GEO D
MATH F
Uta,iweza forier series kweli?..😅😅😅
 
Habarini wana JF naombeni kuelimishwa je inawezekana kusoma computer sience ikiwa 4m4 math nilipa F na kama inawezekana ni kivipi au nifanyaje?
na kama haiwezekani nisome it inawezakua na maslah mazuri? Naombeni msaada na ushauri ahsanteni.

Nb: matokeo ni haya
CIV D
HST C
KISW C
ENG D
BIOS D
GEO D
MATH F
Kwanini usiende arts?,mfano law au nenda ualimu.,usilazimishe sayansi kwakutazamia wengine,nionavyo uwezo wako uko katika arts.
 
Nenda kasome masomo ya Arts, kama Political Science
Umepasi vizuri huko, utajifunza kuwa muongeaji mjanjamjanja, na pia usisahau kadi ya chama...
Utadharau maoni yangu, lakini huko ndio kwenye mwanga.....
Ili akawe Chawa mwandamizi.
 
Ndio unasoma vzuri kabisa. Unaanzia Certificate.

DMI wanakupokea vizuri tu.
Hakuna kitu kama hicho kozi zote za sayansi na engineering lazima awe D ya hesabu. Tofauti na hapo sina uhakika.

Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Marine Operations(BTCMO) Holder of Certificate of Secondary Education (Form IV) with atleast four passes at D grade in the following subjects; Mathematics,Physics/Engineering Science, Chemistry, Geography, English; or Holder of National Vocational Award (NVA) level III inengineering field (mechanical or electrical or civil) and must haveCertificate of Secondary Education (Form IV) or ComorosHolder of Secondary School Education from Ministry of NationalEducation (MNE) in Comoros with at least four D grade equivalent(TZ) in Mathematic, English, Physical Science, Natural Science,Geography


Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Mechanical andMarine Engineering (BTCMME) Holder of Certificate of Secondary Education (Form IV) with atleast four passes at D grade in the following subjects; Mathematics,Physics/Engineering Science, Chemistry, Geography, English; or Holder of National Vocational Award (NVA) level III inengineering field (mechanical or electrical or civil) and must haveCertificate of Secondary Education (Form IV). ComorosHolder of Secondary School Education from Ministry of NationalEducation (MNE) in Comoros with at least four D grade equivalent(TZ) in Mathematic, English, Physical Science, Natural Science,Geography
 
Hakuna kitu kama hicho kozi zote za sayansi na engineering lazima awe D ya hesabu. Tofauti na hapo sina uhakika.

Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Marine Operations(BTCMO) Holder of Certificate of Secondary Education (Form IV) with atleast four passes at D grade in the following subjects; Mathematics,Physics/Engineering Science, Chemistry, Geography, English; or Holder of National Vocational Award (NVA) level III inengineering field (mechanical or electrical or civil) and must haveCertificate of Secondary Education (Form IV) or ComorosHolder of Secondary School Education from Ministry of NationalEducation (MNE) in Comoros with at least four D grade equivalent(TZ) in Mathematic, English, Physical Science, Natural Science,Geography


Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Mechanical andMarine Engineering (BTCMME) Holder of Certificate of Secondary Education (Form IV) with atleast four passes at D grade in the following subjects; Mathematics,Physics/Engineering Science, Chemistry, Geography, English; or Holder of National Vocational Award (NVA) level III inengineering field (mechanical or electrical or civil) and must haveCertificate of Secondary Education (Form IV). ComorosHolder of Secondary School Education from Ministry of NationalEducation (MNE) in Comoros with at least four D grade equivalent(TZ) in Mathematic, English, Physical Science, Natural Science,Geography
Inaonekana hata nikikuambia napenda ugali utanibishia utasema sio kweli napenda wali.

Nina Degree ya Computer Science na hicho nlichokuambia ndio nilichopitia. Nimeeleza vizuri kabisa DMI kigezo cha kufaulu hesabu hawazingatii isipokuwa mtasoma somo la Hesabu Semester mbili kwa aliyefaulu na ambaye hakufaulu hilo somo form four.

Kama unashindwa kuelewa concept ndogo kama hii wewe ndio walewale wasomi wa vyeti(nadharia).
 
Habarini wana JF naombeni kuelimishwa je inawezekana kusoma computer sience ikiwa 4m4 math nilipa F na kama inawezekana ni kivipi au nifanyaje?
na kama haiwezekani nisome it inawezakua na maslah mazuri? Naombeni msaada na ushauri ahsanteni.

Nb: matokeo ni haya
CIV D
HST C
KISW C
ENG D
BIOS D
GEO D
MATH F
Kama unaenda kusomea mambo mengine ila kama uelewei hesabu ikija swala la programming,networking na mengine yenye kuhusu hesabu hapa unachemka
 
Inaonekana hata nikikuambia napenda ugali utanibishia utasema sio kweli napenda wali.

Nina Degree ya Computer Science na hicho nlichokuambia ndio nilichopitia. Nimeeleza vizuri kabisa DMI kigezo cha kufaulu hesabu hawazingatii isipokuwa mtasoma somo la Hesabu Semester mbili kwa aliyefaulu na ambaye hakufaulu hilo somo form four.

Kama unashindwa kuelewa concept ndogo kama hii wewe ndio walewale wasomi wa vyeti(nadharia).
Nadhani wewe ndo umekariri mimi nimekuwekea mpaka joining instructions hao hao DMI. Ni kweli kuna kozi utasoma hilo sijabisha manake kujiunga na chuo kwa level ya Cheti ni D4, Lakini kwa kozi za afya, injia na sayansi related huwezi kujiunga na chuo kama hauna hiyo D ya hesabu. Nenda guide book ya NACTVET na hiyo DMI unayoiongelea wewe.
 
Back
Top Bottom