Naweza kuwa nina mimba?

Huyu si kaolewa wiki tatu zilizoisha akiwa hajafanyiwa majaribio yoyote ya chumbani? Mmh! Lies and lies at its best.
Kwani mimba ina weza ingia baada ya miaka mingapi ya tendo husika? Acha kukurupuka kama hujui kaa kimya..maana hata mpumbava ktk ukimya wake huonekana mwenye hekima!
 
Usimchukie mmeo, hamishia hasira zako kwa bosi wako kazini
 
Kwani hii series Monicca..nisije nikawa najipunja kwa vi episode vichache vichache
 
mimi ni Daktari bingwa wa wanawake unaweza kuja kwangu nikakuangalia
 

Nahisi Shahawa wa moto zimefika mahali pake. by the way ile kazi ya ubizi imeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…