Naweza kwenda Posta kuulizia mzigo wangu kutoka Aliexpress

Naweza kwenda Posta kuulizia mzigo wangu kutoka Aliexpress

Wadau habarini za mchana.

Nilinunua bidhaa kule aliexpress tangu December mwaka jana, mpaka leo sijapokea ujumbe toka posta juu bidhaa yangu kufika bongo, ila yule muuzaji anadai percel imeshafika Dsm muda mrefu tu.

Je inawezekana kwenda pale posta kuuliza endapo kama kuna kifurushi kimetumwa kwa jina langu ?
Tracking inasemaje? Kuna ucheweshaji wa mizigo kipindi hiki cha corona hasa kama umetumia free shipping
 
Tatizo liko hapa kwetu, mfano Mimi Kuna items nilinunua tangu mwezi wa pili estimated delivery ilikuwa ni March 12 - Apr 11 na ilipofika tarehe 24 March items zikawa zimefika Tz. Kuanzia tarehe ya items kufika kila nikifanya Tracking kwa kutumia app ya 17TRACK inaonyesha mzigo uko Held by customs ila nikifanya tracking kwa AliExpress inaonyesha Started customs clearance process, tangu tarehe 24 March started clearance process!!. Uzembe na wizi wa items hufanyika hapa kwetu, kuna watendaji baadhi ambao sio waaminifu wanaochafua. Ninahisi hii inaweza kuwa sababu kwa baadhi ya seller kutosafirisha items kuja kwetu, mfano mimi tayari nimefungua dispute na wewe ukifungua dispute na item yako imefika ila mwizi mmoja ama mzembe mmoja ameikalia hili itaonekana ni tatizo kubwa kufanya biashara na sisi. AliExpress mimi ninawaamini, sababu sijawahi kupoteza pesa na nimekuwa napata kila nichohitaji nikiondoa huu ucheleweshaji.
Aisee itakuwa ni kweli maana yule seller mmoja kagomaa kabisa refund anasema ktk dashboard yake anaona mzigo umefika Tz na yy kasha conformed parcel received by customer
 
Wadau habarini za mchana.

Nilinunua bidhaa kule aliexpress tangu December mwaka jana, mpaka leo sijapokea ujumbe toka posta juu bidhaa yangu kufika bongo, ila yule muuzaji anadai percel imeshafika Dsm muda mrefu tu.

Je inawezekana kwenda pale posta kuuliza endapo kama kuna kifurushi kimetumwa kwa jina langu ?
Ubaya wa kutumiwa mzigo usiokuwa na tracking # ndio huu. Sasa kule Posta hawana mzigo mmoja unaopita, wewe utaenda kuuliza vipi? Hapo inabidi uwe mpole tu usubiri kwenye hilo sanduku lako la Barua kwa sababu kipindi hiki cha Corona kuna changamoto nyingi. Chukulia kama umepotea, ingawa chances za kufika bado zipo.
 
Ebu kua makini mzee kila mzigo Ali express lazima uwe na track number toka nimeanz agiza mzgo Ali express sijawai kosa kupewa track number angalia vizur kwenye huo mzigo wako lazima itakuepo ila kipind cha corona hiki nilikua nikiagiza inachukua ata miez mitano kuna siku mpaka nilienda posta kuulizia hola lakini ulifika baadae
 
Ebu kua makini mzee kila mzigo Ali express lazima uwe na track number toka nimeanz agiza mzgo Ali express sijawai kosa kupewa track number angalia vizur kwenye huo mzigo wako lazima itakuepo ila kipind cha corona hiki nilikua nikiagiza inachukua ata miez mitano kuna siku mpaka nilienda posta kuulizia hola lakini ulifika baadae
Track number, yap nimeiona
Lkn ndio sijapata mzigo wangu tangia dec 2020 mpaka leo
 
Wadau habarini za mchana.

Nilinunua bidhaa kule Aliexpress tangu December mwaka jana, mpaka leo sijapokea ujumbe toka posta juu bidhaa yangu kufika Bongo, ila yule muuzaji anadai percel imeshafika DSM muda mrefu tu.

Je inawezekana kwenda pale posta kuuliza endapo kama kuna kifurushi kimetumwa kwa jina langu?
FANYA HIVI - Nenda posta haraka watakupiga penalty nalwambia. Posta za kitanzania they dont care. Nilipata similar situation na mpaka nikadai refund kumbe mzigo ulikuwa posta. Nilikuwa nimenumua Aliexpress. Yaani siku nilipoenda posta kuuliza wakasema mzigo umefika siku nyingi walitaka kuanza kupiga faini. Kama ningechelewa nisingeupata. Huyo seller atakuwa alituma mzigo.
 
Tatizo lipo bongo , binafsi sijawah fanya biashara na wafanyabiashra waaminifu kama kutoka AliExpress na Alibaba ..... Ni rahsi kutapeliwa hapa hapa Tanzania tena kariakoo huku muuuzaji unamuona kuliko hawa watu waliopo mbali , wapo professional Sana .....

Ushauri wangu , shipping kuja bongo zimejaa usanii ndo mana Amazon au hata eBay wanazingua shipping kuja huku ..,... Nunua bidhaa kwenye site hzo , mwambie suppliers apeleke Kwa agent wanaoleta mizigo bongo , mbna wapo wengi Tu air cargo au sea .. ndani ya mwez mzigo umepata ..... Achana na posta , wapo careless Sana na utaibiwa mzigo , na hata ukifika utabambikiziwa Kodi kibao

Mkuu naomba kufahamu hao agrnts hapa bongo wanapatikana wapi?
 
Ingia insta wapo wengi tuu , akina mapembelo , silent ocean, Ashley n.k
Ndugu kama ushawahi kuwatumia hawa agents Naomba kuuliza Je hawa wana pokea vifurushi vidogo vidogo let sat mashine ya kusaga, n.k vitu vidogo dogo
 
Singapore post (free shipping)
Singapore Mbona Hawacheleweshi Hivyo?
Nenda Posta wape hiyo Traking No Utaupata. Kamaungekuwa Haujafika Seller Mwenyewe angekujulisha.
Hiyo parcel niliagiza imepita Mwezi na siku kadhaa sijaipata ila seller mwenyewe kanicheki na ametaka kurefund au kutuma mpya lakini mimi nimemwambia atume ingine.
Nimeagiza sana Aliexpress sijawahi kupoteza.
Jitahidi Ukiagiza kama unatumia Free shipping Nakushauri (Tanzania via AliExpress Standard Shipping ) wana Track No ambazo unaweza kutrack hata kwa website Posta pia wako fasta.
Package.png
 
Back
Top Bottom