Naweza kwenda Posta kuulizia mzigo wangu kutoka Aliexpress

Naweza kwenda Posta kuulizia mzigo wangu kutoka Aliexpress

Singapore Mbona Hawacheleweshi Hivyo?
Nenda Posta wape hiyo Traking No Utaupata. Kamaungekuwa Haujafika Seller Mwenyewe angekujulisha.
Hiyo parcel niliagiza imepita Mwezi na siku kadhaa sijaipata ila seller mwenyewe kanicheki na ametaka kurefund au kutuma mpya lakini mimi nimemwambia atume ingine.
Nimeagiza sana Aliexpress sijawahi kupoteza.
Jitahidi Ukiagiza kama unatumia Free shipping Nakushauri (Tanzania via AliExpress Standard Shipping ) wana Track No ambazo unaweza kutrack hata kwa website Posta pia wako fasta.
View attachment 1800311
Na mm nimeshangaa maana before ku order nilifanya kautafiti mdogo toka kwa wadau hasa humu wengi wali comment + kuhusu singapore post bac nikaopt kuwatumia hao ...nashangaa mzigo mpaka leo holaa, na leo nimetembelea posta pale wanasema bado mzigo
 
Na mm nimeshangaa maana before ku order nilifanya kautafiti mdogo toka kwa wadau hasa humu wengi wali comment + kuhusu singapore post bac nikaopt kuwatumia hao ...nashangaa mzigo mpaka leo holaa, na leo nimetembelea posta pale wanasema bado mzigo
Track No yako iko kwa Format gani? Ni no pamoja na herufi moja au ni no pamoja na herufi zaidi ya moja. Unaweza kuiweka hapa kama hutojali
 
Track No yako iko kwa Format gani? Ni no pamoja na herufi moja au ni no pamoja na herufi zaidi ya moja. Unaweza kuiweka hapa kama hutojali
kuna mona ina herufi 4 na namba herufi 2 mwanzon na mbili mwishoni
 
Track kupitia site ya Posta utajua kama ishafika au haijafika
NIPO HAPA ONLINE KILA NIKI TRACK INASEMA

Partial or no tracking information is available for this item posted in SINGAPORE. You may try the tracking service provided by the post of SINGAPORE
 
NIPO HAPA ONLINE KILA NIKI TRACK INASEMA

Partial or no tracking information is available for this item posted in SINGAPORE. You may try the tracking service provided by the post of SINGAPORE
Umetembelea posta.co.tz na kuingalia kwenye domestic tracking?
 
Wadau habarini za mchana.

Nilinunua bidhaa kule Aliexpress tangu December mwaka jana, mpaka leo sijapokea ujumbe toka posta juu bidhaa yangu kufika Bongo, ila yule muuzaji anadai percel imeshafika DSM muda mrefu tu.

Je inawezekana kwenda pale posta kuuliza endapo kama kuna kifurushi kimetumwa kwa jina langu?
Kaka am sure mzigo wako upo posta pale unaliwa na mende ww unang'aa sharubu tu huku mjini 😃😃😃😃😃😃 iko hv posta wana aina nne za hii mizigo ya kawaida ambayo wana pokea pale kuna (1) regesta ambazo hzi mara nyng ni mizigo isiyokatwa kodi (2) small pocket ambayo inakuwa na mfumo wa rdp ambayo hii haikatwi kodi ila kulingana na usafirishwaji wake uwa unalipia fee ambayo ni 2800 kama sikosei afu (3) kuna hii wanayokata kodi inakuwa katika mfumo wa rdp unalipa 5900 gharama ya posta afu unafanyiwa makadirio ya kodi

sasa katika hvyo vipengele mara nyng mzigo wa kwanza na wa pili uwa unapigiwa simu ikishafika afu pia inapewa ID number mpya ya posta i.e, fgn na rdp hii uwa ni ndani ya miez miwili unatakiwa uwe ushauchukua otherwise wanaurudisha ulipo toka.

huu wa rdp ambao unapitia tra kuna watu wapuuz sana wavivu na wazee uwa hawatoi taarifa ya mzgo wako na wanapenda sana rushwa so ukiacha mzgo muda mrefu wanakuwa wanatoza fine kila baada ya mwezi ingawa haiwez dhid 10000 kwa muda uliokaa,,, hapa ni mpaka uende ndo utajua mzee.

niambie aina ya mzgo wako naweza jua upo wap nahis ni rdp ya tra ndo maana hawaja kutafuta lamsingi tafuta tracking number then nenda nao
 
Kaka am sure mzigo wako upo posta pale unaliwa na mende ww unang'aa sharubu tu huku mjini 😃😃😃😃😃😃 iko hv posta wana aina nne za hii mizigo ya kawaida ambayo wana pokea pale kuna (1) regesta ambazo hzi mara nyng ni mizigo isiyokatwa kodi (2) small pocket ambayo inakuwa na mfumo wa rdp ambayo hii haikatwi kodi ila kulingana na usafirishwaji wake uwa unalipia fee ambayo ni 2800 kama sikosei afu (3) kuna hii wanayokata kodi inakuwa katika mfumo wa rdp unalipa 5900 gharama ya posta afu unafanyiwa makadirio ya kodi

sasa katika hvyo vipengele mara nyng mzigo wa kwanza na wa pili uwa unapigiwa simu ikishafika afu pia inapewa ID number mpya ya posta i.e, fgn na rdp hii uwa ni ndani ya miez miwili unatakiwa uwe ushauchukua otherwise wanaurudisha ulipo toka.

huu wa rdp ambao unapitia tra kuna watu wapuuz sana wavivu na wazee uwa hawatoi taarifa ya mzgo wako na wanapenda sana rushwa so ukiacha mzgo muda mrefu wanakuwa wanatoza fine kila baada ya mwezi ingawa haiwez dhid 10000 kwa muda uliokaa,,, hapa ni mpaka uende ndo utajua mzee.

niambie aina ya mzgo wako naweza jua upo wap nahis ni rdp ya tra ndo maana hawaja kutafuta lamsingi tafuta tracking number then nenda nao
Okay, nilipita pale posta sikukuta mzigo wangu

Niliagiza Satfinder, Hair clipper, Sun glass na night vision izo zipo kundi gani
 
Okay, nilipita pale posta sikukuta mzigo wangu

Niliagiza Satfinder, Hair clipper, Sun glass na night vision izo zipo kundi gani
satfinder na hair clipper- rdp tra
hz zipo posta hapo kama hawajakupa ujue wamekuibia 😃 😃 😃
 
Back
Top Bottom