Tracking inasemaje? Kuna ucheweshaji wa mizigo kipindi hiki cha corona hasa kama umetumia free shippingWadau habarini za mchana.
Nilinunua bidhaa kule aliexpress tangu December mwaka jana, mpaka leo sijapokea ujumbe toka posta juu bidhaa yangu kufika bongo, ila yule muuzaji anadai percel imeshafika Dsm muda mrefu tu.
Je inawezekana kwenda pale posta kuuliza endapo kama kuna kifurushi kimetumwa kwa jina langu ?
Hapana Ali express wana tracking information kwa kila mzigoHaikuwa na tracking
Hajalinganisha ila kikuu usalama wa mzigo ni 100. Pia mzigo unaenda kuchukulia ofisini kwao na sio posta uchwara...Yaani wewe unaezungumzia kikuu unatka ilinganisha na aliexpress kweli kabisa?
Okay, basi kama ni hivyo sawa maana ni vitu vidogo nikaona nitunie free shippingTracking inasemaje? Kuna ucheweshaji wa mizigo kipindi hiki cha corona hasa kama umetumia free shipping
Aisee itakuwa ni kweli maana yule seller mmoja kagomaa kabisa refund anasema ktk dashboard yake anaona mzigo umefika Tz na yy kasha conformed parcel received by customerTatizo liko hapa kwetu, mfano Mimi Kuna items nilinunua tangu mwezi wa pili estimated delivery ilikuwa ni March 12 - Apr 11 na ilipofika tarehe 24 March items zikawa zimefika Tz. Kuanzia tarehe ya items kufika kila nikifanya Tracking kwa kutumia app ya 17TRACK inaonyesha mzigo uko Held by customs ila nikifanya tracking kwa AliExpress inaonyesha Started customs clearance process, tangu tarehe 24 March started clearance process!!. Uzembe na wizi wa items hufanyika hapa kwetu, kuna watendaji baadhi ambao sio waaminifu wanaochafua. Ninahisi hii inaweza kuwa sababu kwa baadhi ya seller kutosafirisha items kuja kwetu, mfano mimi tayari nimefungua dispute na wewe ukifungua dispute na item yako imefika ila mwizi mmoja ama mzembe mmoja ameikalia hili itaonekana ni tatizo kubwa kufanya biashara na sisi. AliExpress mimi ninawaamini, sababu sijawahi kupoteza pesa na nimekuwa napata kila nichohitaji nikiondoa huu ucheleweshaji.
Ubaya wa kutumiwa mzigo usiokuwa na tracking # ndio huu. Sasa kule Posta hawana mzigo mmoja unaopita, wewe utaenda kuuliza vipi? Hapo inabidi uwe mpole tu usubiri kwenye hilo sanduku lako la Barua kwa sababu kipindi hiki cha Corona kuna changamoto nyingi. Chukulia kama umepotea, ingawa chances za kufika bado zipo.Wadau habarini za mchana.
Nilinunua bidhaa kule aliexpress tangu December mwaka jana, mpaka leo sijapokea ujumbe toka posta juu bidhaa yangu kufika bongo, ila yule muuzaji anadai percel imeshafika Dsm muda mrefu tu.
Je inawezekana kwenda pale posta kuuliza endapo kama kuna kifurushi kimetumwa kwa jina langu ?
Kikuu hamna kitu,vitu vyao vingi vina ubora wa chiniHajalinganisha ila kikuu usalama wa mzigo ni 100. Pia mzigo unaenda kuchukulia ofisini kwao na sio posta uchwara...
Umemjibu vizuri sana. Huyu anaoenekana bado mgeni kwenye hizi mishe.Hapana Ali express wana tracking information kwa kila mzigo
Track number, yap nimeionaEbu kua makini mzee kila mzigo Ali express lazima uwe na track number toka nimeanz agiza mzgo Ali express sijawai kosa kupewa track number angalia vizur kwenye huo mzigo wako lazima itakuepo ila kipind cha corona hiki nilikua nikiagiza inachukua ata miez mitano kuna siku mpaka nilienda posta kuulizia hola lakini ulifika baadae
Ulitimia shiping agent gani?Track number, yap nimeiona
Lkn ndio sijapata mzigo wangu tangia dec 2020 mpaka leo
FANYA HIVI - Nenda posta haraka watakupiga penalty nalwambia. Posta za kitanzania they dont care. Nilipata similar situation na mpaka nikadai refund kumbe mzigo ulikuwa posta. Nilikuwa nimenumua Aliexpress. Yaani siku nilipoenda posta kuuliza wakasema mzigo umefika siku nyingi walitaka kuanza kupiga faini. Kama ningechelewa nisingeupata. Huyo seller atakuwa alituma mzigo.Wadau habarini za mchana.
Nilinunua bidhaa kule Aliexpress tangu December mwaka jana, mpaka leo sijapokea ujumbe toka posta juu bidhaa yangu kufika Bongo, ila yule muuzaji anadai percel imeshafika DSM muda mrefu tu.
Je inawezekana kwenda pale posta kuuliza endapo kama kuna kifurushi kimetumwa kwa jina langu?
Tatizo lipo bongo , binafsi sijawah fanya biashara na wafanyabiashra waaminifu kama kutoka AliExpress na Alibaba ..... Ni rahsi kutapeliwa hapa hapa Tanzania tena kariakoo huku muuuzaji unamuona kuliko hawa watu waliopo mbali , wapo professional Sana .....
Ushauri wangu , shipping kuja bongo zimejaa usanii ndo mana Amazon au hata eBay wanazingua shipping kuja huku ..,... Nunua bidhaa kwenye site hzo , mwambie suppliers apeleke Kwa agent wanaoleta mizigo bongo , mbna wapo wengi Tu air cargo au sea .. ndani ya mwez mzigo umepata ..... Achana na posta , wapo careless Sana na utaibiwa mzigo , na hata ukifika utabambikiziwa Kodi kibao
Ingia insta wapo wengi tuu , akina mapembelo , silent ocean, Ashley n.kMkuu naomba kufahamu hao agrnts hapa bongo wanapatikana wapi?
Singapore post (free shipping)Ulitimia shiping agent gani?
Ndugu kama ushawahi kuwatumia hawa agents Naomba kuuliza Je hawa wana pokea vifurushi vidogo vidogo let sat mashine ya kusaga, n.k vitu vidogo dogoIngia insta wapo wengi tuu , akina mapembelo , silent ocean, Ashley n.k
Hajalinganisha ila kikuu usalama wa mzigo ni 100. Pia mzigo unaenda kuchukulia ofisini kwao na sio posta uchwara...
Kweli mkuuSiyo lazima ofisini unaweza kuwambia wakuletee nyumbani wa kakuletea mpaka mlangoni
Singapore Mbona Hawacheleweshi Hivyo?Singapore post (free shipping)