Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 689
- 3,373
Huyu binti nampenda sana lakini anatabia ya kuongea uongo sanan kuna muda najipa imani kua ataacha lakini baada ya muda yanajirudia.
Shida nyingine hata ukimuuliza ni mgumu ku admit kwamba amekosean anahisi kama yuko katika nafasi ya haki kuongea alichoongea.
Nifanyeje? Moyoni nampenda ila akilini naona kabisa nitakua na mgogoro wa kimawazo sana kutokana na tabia yake.
1. Kuna aliwahi kua na mtu muongo na mwisho akaacha iyo tabia?
2. Kuna huduma ya counselling kuhusu hii tabia?
3. Kuna alieweza kudeal na hawa watu?
Shida nyingine hata ukimuuliza ni mgumu ku admit kwamba amekosean anahisi kama yuko katika nafasi ya haki kuongea alichoongea.
Nifanyeje? Moyoni nampenda ila akilini naona kabisa nitakua na mgogoro wa kimawazo sana kutokana na tabia yake.
1. Kuna aliwahi kua na mtu muongo na mwisho akaacha iyo tabia?
2. Kuna huduma ya counselling kuhusu hii tabia?
3. Kuna alieweza kudeal na hawa watu?