Naweza nikamtibu mpenzi akaacha uongo?

Naweza nikamtibu mpenzi akaacha uongo?

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Huyu binti nampenda sana lakini anatabia ya kuongea uongo sanan kuna muda najipa imani kua ataacha lakini baada ya muda yanajirudia.

Shida nyingine hata ukimuuliza ni mgumu ku admit kwamba amekosean anahisi kama yuko katika nafasi ya haki kuongea alichoongea.

Nifanyeje? Moyoni nampenda ila akilini naona kabisa nitakua na mgogoro wa kimawazo sana kutokana na tabia yake.

1. Kuna aliwahi kua na mtu muongo na mwisho akaacha iyo tabia?
2. Kuna huduma ya counselling kuhusu hii tabia?
3. Kuna alieweza kudeal na hawa watu?
 
Huyu bint nampenda sana lakini anatabia ya kuongea uongo sanan kuna muda najipa imani kua ataacha lakini baada ya muda yanajirudia.

shida nyingine hata ukimuuliza ni mgumu ku admit kwamba amekosean anahisi kama yuko katika nafasi ya haki kuongea alichoongea.

nifanyeje? moyoni nampenda ila akilini naona kabisa nitakua na mgogoro wa kimawazo sana kutokana na tabia yake.

1. kuna aliwahi kua na mtu muongo na mwisho akaacha iyo tabia?
2. kuna huduma ya counselling kuhusu hii tabia?
3. kuna alieweza kudeal na hawa watu?
Haupo piga chini tafuta chuma kingine
 
Kama umeshamuambia na hapendi kubadilika yeye je unafikiri utaweza kumbadilisha wewe,?,

Hapo ndo unaposema ataacha ataacha mwsho wa siku ukishamuoa anazidisha mara kumi yake unakuja kuanza kulalamika Tena ,Kuna vitu ukishaviona wakati WA uchumber na vikawa havibadiliki unapaswa ukimbie .
 
IMG_7770.jpg
 
Huyu bint nampenda sana lakini anatabia ya kuongea uongo sanan kuna muda najipa imani kua ataacha lakini baada ya muda yanajirudia.

shida nyingine hata ukimuuliza ni mgumu ku admit kwamba amekosean anahisi kama yuko katika nafasi ya haki kuongea alichoongea.

nifanyeje? moyoni nampenda ila akilini naona kabisa nitakua na mgogoro wa kimawazo sana kutokana na tabia yake.

1. kuna aliwahi kua na mtu muongo na mwisho akaacha iyo tabia?
2. kuna huduma ya counselling kuhusu hii tabia?
3. kuna alieweza kudeal na hawa watu?
Tangu dunia iumbwe by Sir God na hata itapoteketea kwa moto (spiritual screaptures) au nature yake tokana na kauli ya kisayansi Utility = "the more energy is used by anything day to day the way it loses its ability" haitatokea kunguru kufugika.

Tabia ni tabia tu na haibadiliki kamwe kwa Mtu mzima.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kama tu ana akili. Mwambie wewe ni muongo na najua utadanganya tena na tena kwahiyo mwambie haupo tayari kumsikiliza tena.

Kama ana siri kubwa inayopelekea kila siku adanganye ili kuweka cover ya ile siri basi aiweke wazi leo ili isimpelekee kuendelea kutengeneza story. Na Mwambie if she decides to come clean, you won’t judge her.

Ila fanya hivyo kama unampenda, kama humpendi piga chini, yanini kuhangaika na mafurushi wakati watu wanaojielewa wapo?
 
Huyo ni muongo hakufai, achana nae.

Mara nyingi hua natoa humu ushauri kwa wanaume, usimpende mwanamke hata siku moja, mwanamke pekee unaetakiwa kumpenda ni mama yako mzazi tu.

Upendo wa wauame uko tofauti na wa wanawake, so mwanaume ukipenda you give it all, hisia, akili, moyo, fikra, na kila kitu sasa ikitokea mwanamke akaenda kinyume na matarajio yako utateseka ama utajikuta unataka kuua mtu.

Mwanaume achana na mambo ya kupenda mwanamke. Toka nilipojua hii kanuni sijawahi kuteseka wala kuumia na mapenzi.
 
Hakuna dawa, Dawa ya kutibu tatizo hilo milele ni ww kuiweka nafsi yako katika hali ya utayari kua kila akisemacho uyo binti umpendae ni Ukweli mtupu,hta kama anasema uongo sbbu ww haugegedi uongo mkuu.
 
Hakuna dawa, Dawa ya kutibu tatizo hilo milele ni ww kuiweka nafsi yako katika hali ya utayari kua kila akisemacho uyo binti umpendae ni Ukweli mtupu,hta kama anasema uongo sbbu ww haugegedi uongo mkuu.
Hapo mwisho uongo unaweza peleka ukapoteza ata hizo nguvu za ugegedaji
 
Mwanamke mchawi oa,

Mwanamke mwizi oa,

Mwanamke malaya oa,


(LAKINI USIOE MWANAMKE MUONGO)

Nilimsikia mzee mmoja hivi.
 
Mwanamke mchawi oa,

Mwanamke mwizi oa,

Mwanamke malaya oa,


(LAKINI USIOE MWANAMKE MUONGO)

Nilimsikia mzee mmoja hivi.
Wachawi wana sifa zote mbaya, yaani; Wizi, Uongo, Uzandiki, Umalaya, Unafiki, Ukatili, Uuaji, Upumbavu, Ushetani, Uumbwa, Utakataka n.k n.k..
 
Wachawi wana sifa zote mbaya, yaani; Wizi, Uongo, Uzandiki, Umalaya, Unafiki, Ukatili, Uuaji, Upumbavu, Ushetani, Uumbwa, Utakataka n.k n.k..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uumbwa
 
Back
Top Bottom