MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Tiba nzuri ni KUMUACHA. Huyo mwanamke mwongo atakutesa maisha yako yote ukiendelea kuwa naye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unawatetea sana hao maalunMsiwaogope wachawi
Huyu binti nampenda sana lakini anatabia ya kuongea uongo sanan kuna muda najipa imani kua ataacha lakini baada ya muda yanajirudia.
Shida nyingine hata ukimuuliza ni mgumu ku admit kwamba amekosean anahisi kama yuko katika nafasi ya haki kuongea alichoongea.
Nifanyeje? Moyoni nampenda ila akilini naona kabisa nitakua na mgogoro wa kimawazo sana kutokana na tabia yake.
1. Kuna aliwahi kua na mtu muongo na mwisho akaacha iyo tabia?
2. Kuna huduma ya counselling kuhusu hii tabia?
3. Kuna alieweza kudeal na hawa watu?
huu ndio naweza kusema ndo ushauri sahihiTiba nzuri ni KUMUACHA. Huyo mwanamke mwongo atakutesa maisha yako yote ukiendelea kuwa naye.
hii ni kweli kabisa kwenye uchumba ukigundua mwenzako kuna vitu haviko sawa na wewe huwezi kuhimili ni bora mkaachana tu. maana akishaolewa ndo ana bweteka zaidi. it means mpaka umemua na udhaifu wake ameamini umeukubali udhaifu wake.Kama umeshamuambia na hapendi kubadilika yeye je unafikiri utaweza kumbadilisha wewe,?,
Hapo ndo unaposema ataacha ataacha mwsho wa siku ukishamuoa anazidisha mara kumi yake unakuja kuanza kulalamika Tena ,Kuna vitu ukishaviona wakati WA uchumber na vikawa havibadiliki unapaswa ukimbie .
Siwatetei,na siwaogopi wachawi,,Mbona unawatetea sana hao maalun
maisha ya uchumba + Mke ni tofauti na maisha ya mapisi kali wewe utapenda kudanganywa jambo mkuu? vipi unayajua madhara ya uongo?Hakuna dawa, Dawa ya kutibu tatizo hilo milele ni ww kuiweka nafsi yako katika hali ya utayari kua kila akisemacho uyo binti umpendae ni Ukweli mtupu,hta kama anasema uongo sbbu ww haugegedi uongo mkuu.
Naunga mkono hoja, pia et malaya uoe, hizi mambo za ajabu sanaWazee wa digitali hawana akili kabisaa