Haupo piga chini tafuta chuma kingineHuyu bint nampenda sana lakini anatabia ya kuongea uongo sanan kuna muda najipa imani kua ataacha lakini baada ya muda yanajirudia.
shida nyingine hata ukimuuliza ni mgumu ku admit kwamba amekosean anahisi kama yuko katika nafasi ya haki kuongea alichoongea.
nifanyeje? moyoni nampenda ila akilini naona kabisa nitakua na mgogoro wa kimawazo sana kutokana na tabia yake.
1. kuna aliwahi kua na mtu muongo na mwisho akaacha iyo tabia?
2. kuna huduma ya counselling kuhusu hii tabia?
3. kuna alieweza kudeal na hawa watu?
Tangu dunia iumbwe by Sir God na hata itapoteketea kwa moto (spiritual screaptures) au nature yake tokana na kauli ya kisayansi Utility = "the more energy is used by anything day to day the way it loses its ability" haitatokea kunguru kufugika.Huyu bint nampenda sana lakini anatabia ya kuongea uongo sanan kuna muda najipa imani kua ataacha lakini baada ya muda yanajirudia.
shida nyingine hata ukimuuliza ni mgumu ku admit kwamba amekosean anahisi kama yuko katika nafasi ya haki kuongea alichoongea.
nifanyeje? moyoni nampenda ila akilini naona kabisa nitakua na mgogoro wa kimawazo sana kutokana na tabia yake.
1. kuna aliwahi kua na mtu muongo na mwisho akaacha iyo tabia?
2. kuna huduma ya counselling kuhusu hii tabia?
3. kuna alieweza kudeal na hawa watu?
Je umeshatafiti na kubaini kinachomshawishi (kumchochea ) kusema uongo?kuongea uongo
Hapo mwisho uongo unaweza peleka ukapoteza ata hizo nguvu za ugegedajiHakuna dawa, Dawa ya kutibu tatizo hilo milele ni ww kuiweka nafsi yako katika hali ya utayari kua kila akisemacho uyo binti umpendae ni Ukweli mtupu,hta kama anasema uongo sbbu ww haugegedi uongo mkuu.
Hivi unawajua vizuri wachawi😳😳😳😳😳😳Mwanamke mchawi oa,
Mwanamke mwizi oa,
Mwanamke malaya oa,
(LAKINI USIOE MWANAMKE MUONGO)
Nilimsikia mzee mmoja hivi.
Wachawi nawajuaHivi unawajua vizuri wachawi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Wachawi wana sifa zote mbaya, yaani; Wizi, Uongo, Uzandiki, Umalaya, Unafiki, Ukatili, Uuaji, Upumbavu, Ushetani, Uumbwa, Utakataka n.k n.k..Mwanamke mchawi oa,
Mwanamke mwizi oa,
Mwanamke malaya oa,
(LAKINI USIOE MWANAMKE MUONGO)
Nilimsikia mzee mmoja hivi.
Msiwaogope wachawiWachawi wana sifa zote mbaya, yaani; Wizi, Uongo, Uzandiki, Umalaya, Unafiki, Ukatili, Uuaji, Upumbavu, Ushetani, Uumbwa, Utakataka n.k n.k..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wachawi wana sifa zote mbaya, yaani; Wizi, Uongo, Uzandiki, Umalaya, Unafiki, Ukatili, Uuaji, Upumbavu, Ushetani, Uumbwa, Utakataka n.k n.k..
Wazee wa digitali hawana akili kabisaaMwanamke mchawi oa,
Mwanamke mwizi oa,
Mwanamke malaya oa,
(LAKINI USIOE MWANAMKE MUONGO)
Nilimsikia mzee mmoja hivi