Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale majamaa hawana bei hata elfu tano huwa mara nyingi wanataka pia watu wa kupiga nao domo hasara yake moja unatakiwa upige mastori kama mlijuana tangu utotonishukrani,wa malori wanaeza nitoza kama shngapi kwa makadirio?
We nenda mpaka mbezi hapo utapata hadi malori ndio mida yao hii
Msome kwanza dereva anapenda story gani tembea na beat yake hutalipa hata sh miaWale majamaa hawana bei hata elfu tano huwa mara nyingi wanataka pia watu wa kupiga nao domo hasara yake moja unatakiwa upige mastori kama mlijuana tangu utotoni
King himselfCase Closed.
Shabiby kila baada ya saa kuna basi kinatoka mpaka saa 9 alfajirHabari hivi naweza pata usafiri huo kwa usikuu huu? Na shida kidogo kwenda morogoro
Hahaa nilishawahi apply hiiMsome kwanza dereva anapenda story gani tembea na beat yake hutalipa hata sh mia