sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Sipendagi kuongea sana nikiwa nasafiri na ukiwa mwongeaji sana nasikia ni kero kwangu, usingizi ndio chaguo langu.Wale majamaa hawana bei hata elfu tano huwa mara nyingi wanataka pia watu wa kupiga nao domo hasara yake moja unatakiwa upige mastori kama mlijuana tangu utotoni