mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,072
- 12,119
Wadau mpo poa? Mwanenu hapa nahitaji msaada .
Niliibiwa simu yangu , baada ya muda nilipata nyingine . Changamoto ni pale ambapo katika ku log in kwenye simu mpya ikanihitaji nifanye 2 step verification. Kipengele kikawa kwamba namba niliyoisajilia hii email yangu kama verification ni ya vodacom . Namba hii kwa sasa sina , kuwapigia vodacom ili nifanye kui swap(renew) kupata hizo verification code, vodacom wakaniambia amepewa mtu mwingine yaani ishasajiliwa. 😬😬😬. Dah! Hapo nikachoka . Nikasema hebu nijaribu kufanya last option. Nikampigia huyo alepewa usajili kwa hii namba yangu ya zamani changamoto ni kwamba jamaa haelewi. Yaani nilimwomba anitumie hizo code za g_email(nikiwa online tayari nikiendelea na mchakato) ili mimi nifanye recovery huku kwenye simu niweze ku log in lakini amedinda , katakata na ni kama haelewi . Wadau nawezaje kuvuka hiki kiunzi..
NB: Email yangu na password naijua . Kipengele ni hapo tu kwenye two step verification.
Niliibiwa simu yangu , baada ya muda nilipata nyingine . Changamoto ni pale ambapo katika ku log in kwenye simu mpya ikanihitaji nifanye 2 step verification. Kipengele kikawa kwamba namba niliyoisajilia hii email yangu kama verification ni ya vodacom . Namba hii kwa sasa sina , kuwapigia vodacom ili nifanye kui swap(renew) kupata hizo verification code, vodacom wakaniambia amepewa mtu mwingine yaani ishasajiliwa. 😬😬😬. Dah! Hapo nikachoka . Nikasema hebu nijaribu kufanya last option. Nikampigia huyo alepewa usajili kwa hii namba yangu ya zamani changamoto ni kwamba jamaa haelewi. Yaani nilimwomba anitumie hizo code za g_email(nikiwa online tayari nikiendelea na mchakato) ili mimi nifanye recovery huku kwenye simu niweze ku log in lakini amedinda , katakata na ni kama haelewi . Wadau nawezaje kuvuka hiki kiunzi..
NB: Email yangu na password naijua . Kipengele ni hapo tu kwenye two step verification.