Nawezaje ku recover email yangu?

Nawezaje ku recover email yangu?

Mimi ningekutoza hela tu ili nione upo serious kiasi gani hapo lazima ka ten kangekutoka ila kwa huyo jamaa hahahaha! hapo anaona sio tu unataka kumtapeli bali unaitaka na roho yake kabisa!, so vita inatoka kwenye msimbo mpk kufika hatua yakuanza kuvaa hirizi pumuzi...🤣
Hakika man ningejipinda hata 20k ningetoa.. 🤣. Sema dah inaniwazisha sana hiyo email.
 
Hakika man ningejipinda hata 20k ningetoa.. 🤣. Sema dah inaniwazisha sana hiyo email.
nenda nae polepole atakuelewa akipokea simu akikaza sana mwambie utampa ya vocha hapo anaweza kupata lainiko kidogo
 
Back
Top Bottom