Mimi ningekutoza hela tu ili nione upo serious kiasi gani hapo lazima ka ten kangekutoka ila kwa huyo jamaa hahahaha! hapo anaona sio tu unataka kumtapeli bali unaitaka na roho yake kabisa!, so vita inatoka kwenye msimbo mpk kufika hatua yakuanza kuvaa hirizi pumuzi...🤣