Ok. Kama kuna mwenye ufafanuzi zaidi wa hili.. Mipaka yake ikoje
Hakuna sheria inayoruhusu mabenki kutumia defaulter's social benefits fund kulipia mkopo!
Hoja ya
Nichumu Nibebike inaweza kutokea endapo kungekuwa na fao la kujitoa.
Inaelekea ni kana kwamba mabenki yameomba msaada wa Mifuko ya Kijamii na Waajiri kwa wale wanaoacha kazi na kwenda ku-claim Fao la Kujitoa.
Kama sikosei, unavyo-apply Fao la Kujitoa, Mwajiri kuna sehemu anatia baraka zake. So, kama una deni benki; kimsingi huo ni msala wa Mwajiri! Na kv Mwajiri hawezi kubeba msala wako wewe; kv umejipeleka mwenyewe atakachofanya Mwajiri ni kutia baraka zake kama kawaida na kukuchomea "NSSF" kwamba unadaiwa! In turn, NSSF badala ya kuandika cheque kwako; wataandika in favor of Mwajiri ili mkadaiane wenyewe kwa wenyewe!
Ukiwa weak; Mwajiri atatumia pesa husika kulipia mkopo na kama kuna change; unapewa!
Ukikomaa; Mwajiri hana mamlaka ya kutumia hiyo cheque kulipia huo mkopo! However, hapa itabidi utoe maelezo ya kueleweka ni namna gani unaweza kulipa huo mkopo endapo utaondoka na mafao yako!
Kama inaonekana ni mtu anayeaminika; unaweza kuachiwa uondoke na mpunga wako lakini ukaambiwa ulipe mkopo maybe within one year!
But remember; kwa maelezo yako ni kwamba unataka ku-abscond na kwa maana hiyo hapo huwezi kuwa na sifa ya kuaminika!!
REMEMBER, maelezo ni ikiwa umeenda ku-claim Fao la Kujitoa!
What if umesepa na kutoenda ku-claim?
No one will take that money kirahisi rahisi unless iwe wanafanya kinyume na sheria!
Na kv no one will take your money basi kuna uwezekano mkubwa wa mkopo huo kuwa hasara ya bank!
Sana sana hapo bank wanachoweza kukufanya ni kuku-blacklist kupitia Credit Bureau kwa sababu mabenki wanaamini wapo watu wanachukua mikopo ya wafanyakazi makusudi ili baadae wasipe!
Naona watu wanachukua poa sana suala la Credit Bureau! Trust me, institutions za Tanzania zikishaanza kuwa na nidhamu ya utendaji; suala la Credit Bureau wala sio la kuchukulia poa especially if you're still young with full of life!!
Kesho na keshokutwa unaweza kujikuta unakwamisha mambo yako kwa sababu tu ya mkopo wa cku za nyuma! If you're below 45, it's too early to say huwezi kuomba mkopo bank na ku-conclude kwamba all the Credit Bureau thing is just a bullshit!
However, haimaanishi uendelee kujifunga hapo kazini kwa sababu ya mkopo!
Btw, bado muda gani kumaliza huo mkopo? Or if you don't mind, unaweza kutaja kiasi kilichobaki for better advice!