Nawezaje kuacha kazi huku nina mkopo benki?

Kumbe ni mwana kitengo mkuu
 
Asante sana kwa ufafanuzi mzuri uliogusia sehemu nyingi.
 
Hahahaaaaa sawa bwana mkomatembo. Namheshimu mtazamo wako kutegemeana na integrity uliyonayo
 
Nashukuru kwa ufafanuzi wako
 
mkuuu katika mkataba wakoo umesema unalipa kwa mshahara mkuuu naaa kama kazii ikiishaa basii wameliwa haooo ni tofautii na mkataba wa mkopo wa biashara unaosemaaaa kipatoo cha mkopo ni biasharaa na mdhamini husika palee unaposhindwaaa kulipa mkopoo wa biasharaa lkn Mkopo wa payrolee mdhaminiii au mrithi yupo kwaajili ya benefits za Bimaaa mkuuu

Lakini Munguu hapendii unachofanyaaaaaa mkuuu
 
Inakuwaje kama ni mtumishi wa serikali akiachishwa kazi huku akiwa na mkopo bank ambao mdhamini ni mwajiri
Je mwajiri ataajbika kulilipa deni?
 
Hahahaaaaa sawa mkuu asante kwa injili
 
Kumbuka mkopo una bima. Kazi za bima ndo hizi.

Anachotakiwa kufanya sio kuacha kazi bali ni kufanya vituko mbali mbali kama utoro kazini kwa zaidi ya siku 5 mfululizo.

Akija kazini aje amelewa hata kama amekunywa chai tu, boss akimpa majukumu amtukane watamchoka na kumfukuza kazi.

Hapo BIMA italipa 100%
 
Aisee meipenda sana trick yako
 
Reactions: y-n
Bonge moja la tango pori
 
Na huo ndio ukweli,ukitaka kuifatilia pension yako lazima form ijazwe ulikokua unafanya kazi hapo ndipo utapojua kua umejiongezea matatizo maana riba ya mkopo inaongezeka kila mwezi na faini juu ya kuchelewesha kulipa!
 
Na huo ndio ukweli,ukitaka kuifatilia pension yako lazima form ijazwe ulikokua unafanya kazi hapo ndipo utapojua kua umejiongezea matatizo maana riba ya mkopo inaongezeka kila mwezi na faini juu ya kuchelewesha kulipa!
Mafao yanini sasa kama umekaa kazini miaka 2 mafao hayafiki hata 10M yanini sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…