Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Nawezaje nikaacha uvivu katika majukumu ya kazi na shughul nyingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄😄Aijampiga vzrNjaa haijakuuma wewe.
Umesema vyemaWeka malengo kwenye kazi zako mfano leo natakiwa kufanya kaz vitu kadhaa na hakikisha vinaisha.
Ni pale utakapoacha uvivu wa kufikiria namna ya kuuacha uvivu na kututupia swali tukujibie.Nawezaje nikaacha uvivu katika majukumu ya kazi na shughul nyingine?
Nawezaje nikaacha uvivu katika majukumu ya kazi na shughul nyingine?
una miaka mingap kwani?Nawezaje nikaacha uvivu katika majukumu ya kazi na shughul nyingine?
kama unalishwa huwezi kuacha uvivu itakua kwenu mambo safiSawA kwenye ratiba ndio natakiwa nianze kuweka tabia ya kufanya kaz
Muonee huruma.Atasikia uvivu kujibu.una miaka mingap kwani?
😂😂😂kwamba kufikiria kwenyewe kaona uvivuNi pale utakapoacha uvivu wa kufikiria namna ya kuuacha uvivu na kututupia swali tukujibie.
we ni mtoto wa ngapi kwenuNawezaje nikaacha uvivu katika majukumu ya kazi na shughul nyingine?
Kama anatuuliza afanyeje ili aache uvivu,kweli kuna mtu hapo?🤣🤣🤣😂😂😂kwamba kufikiria kwenyewe kaona uvivu