Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Duh ukiona mtoto amefikia hatua ya kumuombea baba yake kifo ujue huyo baba alizingua sanaKwa sasa aliotukimbia ndio tunao msitiri amalizie siku zake, Ila anajuta Sana na ni kulia Kama mtoto… toba Kila siku… tabu Tupu… ukienda kumsalimia anakuambia, utakuja lini tena, niletee hiki na hiki… Halafu Yule second wife hana Tena msaada maana maokoto hakuna Tena… dingi nyumbani harudi maana tayari siku zimwishie na ikiwa atarudi ugomvi na mama utaanza Tena… taabu Tupu… yaani naomba tu Mungu afanye kazi yake haraka huyu dingi akapumzike…
hii 50/50 ni kwenye kula matunda tu ila linapokuja kwenye uwajibikaji na majukumu mwanaume ni lako 100% hivyo ikifikia hatua kama ya mleta mada ni vizuri kuwa makini sana usiumizwe tena kwa kisingizio cha matunzo ya watoto.Si 50/50?
Wanaume wanazingua sana hasa huko vijijini na mikoani...watoto washukuru kuna ardhi ya kulima na kupata angalau mlo hata kama ni hafifu...huko watoto wanaishi kama Jehanamu ikiwa bado ni duniani.Duh ukiona mtoto amefikia hatua ya kumuombea baba yake kifo ujue huyo baba alizingua sana
Wanaume wanazingua sana hasa huko vijijini na mikoani...watoto washukuru kuna ardhi ya kulima na kupata angalau mlo hata kama ni hafifu...huko watoto wanaishi kama Jehanamu ikiwa bado ni duniani.Duh ukiona mtoto amefikia hatua ya kumuombea baba yake kifo ujue huyo baba alizingua sana
Kuna hasara kidogo na hasara kubwa hiyo ya kuendelea kuwa pamoja ndo hasara kubwa kuliko maana mmoja akiua mwingine hao watoto hawatompenda aliyebaki maisha yao yote bila kujali km alikuwa sahihi ama la!!Yaani linapofika swala la kuachana ukiwa na watoto na mmeshapiga hatua za kifamilia there is no Option that will favour you.
Kila unaloamua lina hasara kwako.
Wanaume wanazingua sana hasa huko vijijini na mikoani...watoto washukuru kuna ardhi ya kulima na kupata angalau mlo hata kama ni hafifu...huko watoto wanaishi kama Jehanamu ikiwa bado ni duniani.Duh ukiona mtoto amefikia hatua ya kumuombea baba yake kifo ujue huyo baba alizingua sana
Hapo sasa ndio wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika.hii 50/50 ni kwenye kula matunda tu ila linapokuja kwenye uwajibikaji na majukumu mwanaume ni lako 100% hivyo ikifikia hatua kama ya mleta mada ni vizuri kuwa makini sana usiumizwe tena kwa kisingizio cha matunzo ya watoto.
Kuna hasara kidogo na hasara kubwa hiyo ya kuendelea kuwa pamoja ndo hasara kubwa kuliko maana mmoja akiua mwingine hao watoto hawatompenda aliyebaki maisha yao yote bila kujali km alikuwa sahihi ama la!!
Nadhani Bado tunakumbuka misuko suko ya bilionea Dr R. Mengi mzee wetu.Kuna hasara kidogo na hasara kubwa hiyo ya kuendelea kuwa pamoja ndo hasara kubwa kuliko maana mmoja akiua mwingine hao watoto hawatompenda aliyebaki maisha yao yote bila kujali km alikuwa sahihi ama la!!
heri ya nusu shari kuliko shari kamili, maana yake bora muachane ibaki kwenye malezi tu kuliko kuwa pamoja yanaweza kutokea kama yale ya gunia mbili za mkaa kule kigamboni.Hapo sasa ndio wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika.
Uzuri mtoa mada yupo tayari kuambiwa madhara na faida, ila kashaamua kuachana na huyo mzazi mwenzieNadhani Bado tunakumbuka misuko suko ya bilionea Dr R. Mengi mzee wetu.
Mada yake inatupa somo na changamoto.Uzuri mtoa mada yupo tayari kuambiwa madhara na faida, ila kashaamua kuachana na huyo mzazi mwenzie
Braza kede angalia namna ya kulea watoto wenu hasa km wako under 18,
Changamoto sanaMada yake inatupa somo na changamoto.
.sisi wengine tunajaribu kupanua fikra tu lakini maamuzi yako juu yake.
Sasa hivi hujali hata kama ukioa na kuzalisha mara mia. Lakini ukifika uzeeni utakuwa na maisha ya majuto sana...Amani ya moyo ni muhimu sana,baba na mama waliachana wakiwa na watoto 7 including me,niliachwa na kulelewa na baba nikiwa na mwaka 1.8 na leo hii nipo,kupitia hali hii sina huruma na mwanamke atayeniletea ujinga ujinga,nikuachana na kuoa tena,hata kama nitaoa mara 100 sitajari.
Mkuu tafuta amani ya moyo wako,usiwaze juu ya watoto,ikiwa mimi nimekuwa toka kuachwa nikiwa na mwaka1.8 sasa hofu yako ni ipi? Mwambie huyo huyo mwanamke humtaki tena ikiwa una sababu kuu ya kufanya hivyo,huhitaji kujiuliza.
Yaani watoto watano unashindwa kumpuuzia huyo mke au mume halafu uendelee kuishi nae hapo hapo na watoto wenu?Tayari uhusiano huu umezalisha watoto watano.
Wakuu tupeane maujanja ya namna ya kutoka kwenye mahusiano haya na matokeo yake (yote mazuri na mabaya) ya kuachana huko.
**Sitaki ushauri wa kurudiana maana maamuzi ya kuachana tayari yameshafanyika.
Sasa hivi hujali hata kama ukioa na kuzalisha mara mia. Lakini ukifika uzeeni utakuwa na maisha ya majuto sana...
Unaweza usielewe hili muda huu, time will tell
Sasa hivi hujali hata kama ukioa na kuzalisha mara mia. Lakini ukifika uzeeni utakuwa na maisha ya majuto sana...
Unaweza usielewe hili muda huu, time will tell
Wazee waliokuwa kama yeye sasa hivi wanajuta. Na kutwa ni kuomba msamaha kwa watoto wao.Mpaka yamkute kama wazee wengine.
Kwa sasa ni kijana, ana nguvu, pesa anayo hatakuelewa.