Amani ya moyo ni muhimu sana,baba na mama waliachana wakiwa na watoto 7 including me,niliachwa na kulelewa na baba nikiwa na mwaka 1.8 na leo hii nipo,kupitia hali hii sina huruma na mwanamke atayeniletea ujinga ujinga,nikuachana na kuoa tena,hata kama nitaoa mara 100 sitajari.
Mkuu tafuta amani ya moyo wako,usiwaze juu ya watoto,ikiwa mimi nimekuwa toka kuachwa nikiwa na mwaka1.8 sasa hofu yako ni ipi? Mwambie huyo huyo mwanamke humtaki tena ikiwa una sababu kuu ya kufanya hivyo,huhitaji kujiuliza.