Kweli? Hawa maagent wao wananunua wapi kama huko ni bei juu?Kiwandani Bei juu zaidi kuliko kwa ma-Agent. Niliwahi kupata uzoefu pia kwa Simtank
Duuuh! hii inakuaje hii?Kiwandani Bei juu zaidi kuliko kwa ma-Agent. Niliwahi kupata uzoefu pia kwa Serengeti lengo ni kuwasaidia Mawakala wao
Kiwandani ikiwa Bei chini. HakunaDuuuh! hii inakuaje hii?
Kwa crate hizo unaweza agiza (ingawa sijajua minimum order zao) ila viwanda vya maji au soda ni hizo na wanakuletea, ila kama huna crate kuna pesa inabid udeposite kwao inakuwa kama umekodi hizo crate na ukitaka kuachana na biashara hiyo pesa wanakurudishia wanachukua crates zao.Kweli? Hawa maagent wao wananunua wapi kama huko ni bei juu?
Creti ninazo mkuuKwa crate hizo unaweza agiza (ingawa sijajua minimum order zao) ila viwanda vya maji au soda ni hizo na wanakuletea, ila kama huna crate kuna pesa inabid udeposite kwao inakuwa kama umekodi hizo crate na ukitaka kuachana na biashara hiyo pesa wanakurudishia wanachukua crates zao.
NB. Hizo crate ni nyingi unaweza pata kiwandani vizuri tu.
Ni hayo tu ninayojua.
Thanks mkuuNenda Tbl utapewa utaratibu kma kreti 1000 unaletewa mpk mlangoni
omba uwakalaWakuu habari zenu,
Nataka kuanza biashara ya vinywaji, maandalizi yote tayari.
Naomba msaada kwenu wadau najua mna uelewa mpana wa haya mambo, hivi Kwa wingi wa creti ninazotaka kuanza nazo siwezi kuletewa na kiwanda Moja kw Moja mpaka nilipo au mpaka nipitie Kwa maagent wao?
Kaombe kuwa WAKALA.Wakuu habari zenu,
Nataka kuanza biashara ya vinywaji, maandalizi yote tayari.
Naomba msaada kwenu wadau najua mna uelewa mpana wa haya mambo, hivi Kwa wingi wa creti ninazotaka kuanza nazo siwezi kuletewa na kiwanda Moja kw Moja mpaka nilipo au mpaka nipitie Kwa maagent wao?
Ndicho nachotaka kufanya kipindi naendelea na process biashara iwe inaendeleaKaombe kuwa WAKALA.
Sawa kaka nimekuelewa, ila Kwa hiyo 200m kama mtaji haikuwa shida ila kama ni ya kudeposit kwao ndio changamoto Kwa sasaNasema haiwezekani. Nina uzoefu mkubwa kikazi na tbl, nbcl (coke). Naamini hata sbl hali ni hiyo.
Kwa wingi huo naamini unajipanga kuwa wakala.
Kuna taratibu unapaswa kuzifuata kabla ya huo uwakala na lazima waje kukukagua eneo la kazi, stoo, wafanyakazi, vitendea kazi km magari madogo ya kusambazia wateja (diliveries kwa wateja km baa, grocery nk)
Minimum capital kwa miaka niliyokuwa nafanya kazi ilikuwa 200,000m na hiyo inakuwa fixed kiwandani sio ya kuombea oda. Maana yake kutoa oda ya gari moja ilikuwa km 65m, hii ni tofauti na hizo.
Kumbuka ni dhamana yako siku kikitokea chochote kikaathiri biashara na yumkini vitendea kazi vya kampuni wana-seize hiyo fixed.
Hizo 1,000 cases utapata kwa wakala jirani.wanagawa uwakala kwa utaratibu maalum ili kuepuka kuingiliana kimaslahi au hadi wakala mzoefu awe ameonesha kuelemewa au anakiuka masharti.
Kukiuka masharti ya mkataba wao kunatosha kukufutia uwakala na kusimamisha huduma.
Mtafute wakala jirani au dealer wa tbl/maafisa masoko.
Tbl hawana kona kona km waswahili. Maboss ni makabulu na head ofisi iko dar na SA ndio kitovu cha yote kuanzia utawala na control ya magari nk. Itoshe kusema wako smart na wanajiamini na biashara zao. Hawababaishwi na kupoteza mteja msumbufu.
wananunua kiwandani ila wanafanya hvyo ili kulinda mawakala wao maana wakiruhusu kila mtu anunue kiwandan kutakuwa hakuna maslahi kwa mawakala.Kweli? Hawa maagent wao wananunua wapi kama huko ni bei juu?
Niliwahi kuuliza TBL mwaka 2014 walisemaga wanaanzia kleti 500. Lakini kwa sasa ndio sijui.Wakuu habari zenu,
Nataka kuanza biashara ya vinywaji, maandalizi yote tayari.
Naomba msaada kwenu wadau najua mna uelewa mpana wa haya mambo, hivi Kwa wingi wa creti ninazotaka kuanza nazo siwezi kuletewa na kiwanda Moja kw Moja mpaka nilipo au mpaka nipitie Kwa maagent wao?
Nadhani robert sendabishaka ametoa ufafanuzi mzuri. Haya huo uwakala hautolewi kienyeji, hata kama una fedha. Uwakala unatolewa kulingana na maeneo na mahitaji. Kiwanda lazima kilinde mawakala kwani ni wadau muhimu na wanawarahisishia kazi ya kusambaza na kuuza bidhaa zao. Sina uhakika sana lakini hata kama kiwandani watakuuzia, bei itakuwa kubwa na kutakuwa na idadi maaalum unayotakiwa kununua, vinginvyo watakuelekeza kwa wakala aliye kwenye eneo lako.Ndicho nachotaka kufanya kipindi naendelea na process biashara iwe inaendelea
So ni sawa na kuoa pesa ndani ya benk au kwenye ATM/wakala?Kiwandani Bei juu zaidi kuliko kwa ma-Agent. Niliwahi kupata uzoefu pia kwa Serengeti lengo ni kuwasaidia Mawakala wao.
NB: pia viwanda vya Nondo na zile "simtank" kiwandani Bei inazidi bei kwa wakala
DuuhNiliwahi kuuliza TBL mwaka 2014 walisemaga wanaanzia kleti 500. Lakini kwa sasa ndio sijui.