Nawezaje kuagiza Moja Kwa Moja kutoka kiwandani TBL na SBL kreti 1000 nazohitaji kuanza nazo kibiashara?

Nawezaje kuagiza Moja Kwa Moja kutoka kiwandani TBL na SBL kreti 1000 nazohitaji kuanza nazo kibiashara?

Uwakala unalipa sana,yaani umaskini wa mitaji ndiyo tatizo,but it pays much,ngoja tuendelee kudunduliza tutafikia hizo levo.
 
Mimi nauza Creti za TBL na Serengeti pia Soda za coca na Pepsi bei zuri tuuuh ninazo creti zaidi ya 100 nipo Hapa Dar es salaam.
 
Unaweza kupata ila kutimiza masharti yao ndio shida mf wanataka uwe na mtaji wa kutosha kama 100m una deposit kiwandani alafu unapewa target ya kununua na kuuza labda creti 5000 per months
Lazima uwe na vifaa vya usafirishaji kama kirukuu, Truck au Krenta na pia Godown la kuifanzi mzigo wa kutosha

Kikubwa lazima uwe kwenye eneo ambalo hakuna distributor mwingine eneo ilo…
 
Unaweza kupata ila kutimiza masharti yao ndio shida mf wanataka uwe na mtaji wa kutosha kama 100m una deposit kiwandani alafu unapewa target ya kununua na kuuza labda creti 5000 per months
Lazima uwe na vifaa vya usafirishaji kama kirukuu, Truck au Krenta na pia Godown la kuifanzi mzigo wa kutosha

Kikubwa lazima uwe kwenye eneo ambalo hakuna distributor mwingine eneo ilo…
Dadeq hapo ndo kasheshe mitaji aisee

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kupata ila kutimiza masharti yao ndio shida mf wanataka uwe na mtaji wa kutosha kama 100m una deposit kiwandani alafu unapewa target ya kununua na kuuza labda creti 5000 per months
Lazima uwe na vifaa vya usafirishaji kama kirukuu, Truck au Krenta na pia Godown la kuifanzi mzigo wa kutosha

Kikubwa lazima uwe kwenye eneo ambalo hakuna distributor mwingine eneo ilo…
Kuna umbali unaotakiwa kuwa Kwa distributor mmoja mpaka mwingine?
 
Nasema haiwezekani. Nina uzoefu mkubwa kikazi na tbl, nbcl (coke). Naamini hata sbl hali ni hiyo.

Kwa wingi huo naamini unajipanga kuwa wakala.

Kuna taratibu unapaswa kuzifuata kabla ya huo uwakala na lazima waje kukukagua eneo la kazi, stoo, wafanyakazi, vitendea kazi km magari madogo ya kusambazia wateja (diliveries kwa wateja km baa, grocery nk)

Minimum capital kwa miaka niliyokuwa nafanya kazi ilikuwa 200,000m na hiyo inakuwa fixed kiwandani sio ya kuombea oda. Maana yake kutoa oda ya gari moja ilikuwa km 65m, hii ni tofauti na hizo.

Kumbuka ni dhamana yako siku kikitokea chochote kikaathiri biashara na yumkini vitendea kazi vya kampuni wana-seize hiyo fixed.

Hizo 1,000 cases utapata kwa wakala jirani.wanagawa uwakala kwa utaratibu maalum ili kuepuka kuingiliana kimaslahi au hadi wakala mzoefu awe ameonesha kuelemewa au anakiuka masharti.

Kukiuka masharti ya mkataba wao kunatosha kukufutia uwakala na kusimamisha huduma.

Mtafute wakala jirani au dealer wa tbl/maafisa masoko.

Tbl hawana kona kona km waswahili. Maboss ni makabulu na head ofisi iko dar na SA ndio kitovu cha yote kuanzia utawala na control ya magari nk. Itoshe kusema wako smart na wanajiamini na biashara zao. Hawababaishwi na kupoteza mteja msumbufu.

Kudadeki[emoji16]
 
Wakuu habari zenu,

Nataka kuanza biashara ya vinywaji, maandalizi yote tayari.

Naomba msaada kwenu wadau najua mna uelewa mpana wa haya mambo, hivi Kwa wingi wa creti ninazotaka kuanza nazo siwezi kuletewa na kiwanda Moja kw Moja mpaka nilipo au mpaka nipitie Kwa maagent wao?
Wanasema AGENT ndo ana hodhi brand ya kampuni husika,na ndo mana unakuta supplier wa ukanda mzima anakuwa mmoja,

Kwa kiwandani waliniambia ili uweze kuletewa Lazima uwe na uwezo wa kuagiza lile lori zima(lina beba Kreti 900)Pia inategemea na Wingi wa kreti unazotak kuletewa,kila la kheri jamaa.
 
Wakuu habari zenu,

Nataka kuanza biashara ya vinywaji, maandalizi yote tayari.

Naomba msaada kwenu wadau najua mna uelewa mpana wa haya mambo, hivi Kwa wingi wa creti ninazotaka kuanza nazo siwezi kuletewa na kiwanda Moja kw Moja mpaka nilipo au mpaka nipitie Kwa maagent wao?
Afu unyooshe maelezo,TBL ni kret 1000 na serengeti ni kreti 1000 or kila kampuni una kreti 500@ @each
 
Kiwandani Bei juu zaidi kuliko kwa ma-Agent. Niliwahi kupata uzoefu pia kwa Serengeti lengo ni kuwasaidia Mawakala wao.

NB: pia viwanda vya Nondo na zile "simtank" kiwandani Bei inazidi bei kwa wakala
We mwamba ni kaongo kwa asilimia 100%
 
Mimi nauza Creti za TBL na Serengeti pia Soda za coca na Pepsi bei zuri tuuuh ninazo creti zaidi ya 100 nipo Hapa Dar es salaam.
Gabari za mchana,sorry nakuomba what'sapp 0764955864 au inbox kuna kutu unisaidie kuhusu biashara TBL
 
Back
Top Bottom