Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Hata saa mbovu Kuna muda husema majira sahihi😂😂Leo umetoa pointi chanya, hakika umenifurahisha
Muache apige ana ana ana do😁Hizi mada zenu zinapasua vichwa, kasome vitabu ushauri wa humu kila mtu anatoa wake
Ni kweli lakini lazima ushauri wenyewe uuchakate tenaWapo wanaotoa ushauri vzr mkuu
Kwani we unatakaje mwenzi sahihi ni yule mwenye uwezo wa kukuvulia chupi bila kukuomba Hela km ukimpata huyo nakushauri chinja beberu kula na wenye uhitaji utadumu nae sanaNaomben ushauri Ilinifikie Malengo yakuowa
Haupo serious. Haujui mtu gani unayetaka kuoa ?Ndio mkuu
🤣🤣🤣Ntakuwa kama Gen z wakenya😂
Unaujinga mwingiNipo seriouslyNaombeni napicha za waolewaj
Kwahiyo hizi kelele zote zinazopigwa humu na watu wa KATAA NDOA we unakomaza shingo sio..?Ndio mkuu
Hizo vitabu zimeandikwa na majini eeh? 🤔🤔Hizi mada zenu zinapasua vichwa, kasome vitabu ushauri wa humu kila mtu anatoa wake