Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Kasomeni hapa, sisi ndio tunasoma huku kwa utulivu😂😂Kitabu niliandika ili niuze, hapa naandika sababu ameomba ushauri😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasomeni hapa, sisi ndio tunasoma huku kwa utulivu😂😂Kitabu niliandika ili niuze, hapa naandika sababu ameomba ushauri😂😂
Hakuna maraika duniani, unaweza ukamchukua kanisani, au msikitini, na akawa shetani tu, na unaweza ukampata huku duniani, na akawa mzuri kama malaika,Wakuu Kama Uzi unavyojieleza Nawezaje
Kuchagua Mwenzi sahihi?
Au nsubiri Mke mwema kutoka kwa Bwana
Naomben ushauri Ilinifikie Malengo yakuowa
Ww mtafute atakae kuzalia mtot izo kutoka kwa Bwana utasubr mpaka nguvu za kiume ztakuwa zmesha kuishiaWakuu Kama Uzi unavyojieleza Nawezaje
Kuchagua Mwenzi sahihi?
Au nsubiri Mke mwema kutoka kwa Bwana
Naomben ushauri Ilinifikie Malengo yakuowa
Wakuu Kama Uzi unavyojieleza Nawezaje
Kuchagua Mwenzi sahihi?
Au nsubiri Mke mwema kutoka kwa Bwana
Naomben ushauri Ilinifikie Malengo yakuowa
Oja nikae hapa! Nimechagua wanawake wa kuoa zaidi ya mara mbili lakini hola! Naweka mkao hapaWakuu Kama Uzi unavyojieleza Nawezaje
Kuchagua Mwenzi sahihi?
Au nsubiri Mke mwema kutoka kwa Bwana
Naomben ushauri Ilinifikie Malengo yakuowa
Asante kwa ushauri Mzuri mkuu🙏Hakuna maraika duniani, unaweza ukamchukua kanisani, au msikitini, na akawa shetani tu, na unaweza ukampata huku duniani, na akawa mzuri kama malaika,
Bottom line, tafuta mwenye kufanya shughuri ya ki uchumi, angalau hapa mjini, anaeleweka anafanya shughuri gani ya kipato, sio wale wasioeleweka, pili tafuta wa saizi yako, we kipato chako, chini ya milioni kwa mwaka, unatafuta binti mwenye salary ya 7M, kwa mwezi,
Winda maeneo ya vyuo, wale wahitimu, au waalimu, au hata hapo unapoishi,
Cha msingi jua hata wazazi wake wanaishi wapi, wapo mabinti/vijana wazuri Sana hapa mjini,
Nipo hapa, we uko wapi.....Wakuu Kama Uzi unavyojieleza Nawezaje
Kuchagua Mwenzi sahihi?
Au nsubiri Mke mwema kutoka kwa Bwana
Naomben ushauri Ilinifikie Malengo yakuowa
Nakupigia malizia kuombaNipo Kwenye maombi
Mwenza sahihi kumpata ni mpka uwe umemtengeneza ww mwenyewWakuu Kama Uzi unavyojieleza Nawezaje
Kuchagua Mwenzi sahihi?
Au nsubiri Mke mwema kutoka kwa Bwana
Naomben ushauri Ilinifikie Malengo yakuowa
Ahsante hawa mambo yanahitaji hekima ya mwenyezimungu wallahNdio mkuu pole sanaa