Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm not black I'm O JThe People v. O. J. Simpson: American Crime Story
Halafu hizi LED anunue nani?Nunua mpya smart
Tumewazoea mkuu, ngoja tuishi nao hivi hiviUzi mzuri sana ila kuna wajuaji zaidi badala ya kutoa elimu wana kazi ya kutoa majivuno mara land cruiser [emoji35]
Thanks but no thank youhuna uelewa wa Smart vs LED TV, ndiyo maana nimekusahihisha chief
Luca [emoji23]Thanks but no thank you
Humu mkuu wajuaji ni wengi mno,unabaki kuwaacha na ujuaji wao tu,mtu hajui kwa tech ya sasa hata chogo inawezekana kuwa smart halafu anajiona anajuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaKwenye Electronics Kila kitu kinawezekana kwa sababu ni either unaongeza Circuit au unapunguza idadi ya Circuit! Muwe mnajifunza kidogo haya mambo sio mnakurupuka kujaza server za JF .Ata TV za zamani za Tube zenye Audio/Video in puts ports kwa kutumia IPTV boxes inaweza kuwa smart TV ! Kama una TV ya zamani unataka iwe smart ni 100000 tu👇
View attachment 2176161
Mi mwenyewe mapema tu nitakucheki,next week nitakuwa Moro hapo nitakuchek mkuu,nazionaga Alliexpress sema nakosaga muda wa kuziagizia,ofisi yako ipo hapo chipukizi nn mkuu?
Nashukuru sana mkuu. Be blessedKama unataka ku enjoy smart features achana na tv box za kichina ambazo hazina Android tv.
Kwa soko la Aliexpress tafuta mi tv stick kama 70,000 hivi.
Kwa soko la marekani Tafuta onn streaming stick ya walmart ama Amazon fire stick hizi ukijua kucheza nazo mpaka TZ ni kama 80,000.
Android tv ipo optimized kwa ajili ya tv inakuwa rahisi kunavigate, kutype, kusearch compare na android za kawaida.
Karibu sana! Tupo karibu na maeneo ya MasikaMi mwenyewe mapema tu nitakucheki,next week nitakuwa Moro hapo nitakuchek mkuu,nazionaga Alliexpress sema nakosaga muda wa kuziagizia,ofisi yako ipo hapo chipukizi nn mkuu?
Sidhani kama kafanya ujuaji ila amempa jamaa ''task'' ili awe na uelewa zaidi. Amekosea kuuliza japo ameeleweka. Ni vizuri mtu anapokosea aelekezwe na asiachwe arudie makosa yake. Kuelekeza siyo majivuno. Watanzania hatupendi kabisa kuonekana kuwa hatujui!Uzi mzuri sana ila kuna wajuaji zaidi badala ya kutoa elimu wana kazi ya kutoa majivuno mara land cruiser [emoji35]
Alie elewa anijuze jamaniKama unataka ku enjoy smart features achana na tv box za kichina ambazo hazina Android tv.
Kwa soko la Aliexpress tafuta mi tv stick kama 70,000 hivi.
Kwa soko la marekani Tafuta onn streaming stick ya walmart ama Amazon fire stick hizi ukijua kucheza nazo mpaka TZ ni kama 80,000.
Android tv ipo optimized kwa ajili ya tv inakuwa rahisi kunavigate, kutype, kusearch compare na android za kawaida.
Pamoja sana,wiki ijayo inshallah nitafika hapoKaribu sana! Tupo karibu na maeneo ya Masika
Kwenye hizi TV box za android, kuna zinazotumia android OS ya simu ambayo haijaundwa Kwa ajili ya TV,Alie elewa anijuze jamani
Anaset nini sasa na kidude ni cha kupachika kama USB flash tu!Chukua hicho, mie niliagiza nikatumia jumla kama 42,000 hivi...
Sema tafuta fundi wa FLAT screen aje akusetie... Sasa hivi naenjoy utamu wa Smart TV kwenye HISENSE LED nilonunua 400,000 tu.
View attachment 2175960
Hichi chako kina google apps? Kama youtube na playstore?Nimetumia 42,000 tu. Ku-ibadilisha TV yangu kuwa Smart !
Sasa hivi ni mwendo wa NETFLIXXX mwanzo mwishooo
View attachment 2176157
Hata Apple TV plays the same role