inawezekana kama wife hajaifungua
fanya hivi
1.Mwambie kompyuta yako ina virus, kila mtu kwenye id mesenger yako kapata same mesege, hizo mesege zinajituma zenyewe, na uwezi format system
2.Jaribu kumwabia wife kuwa ID yako iko hacked,sasa unamuomba kutumia email yake kuwataarifu yahoo, hivyo muombe akupe password akikupa tuu kosa la jinai.
3.Kama nyumbani kwako kuna internet, na wife yupo home basi mtege, chomoa cable ya net, then mwambie alog in ukiwa ofisini kesho mchati akishindwa mwambie akutumie email na password ujaribu ofisini kwako kama inafanya kazi.
4.Kama ikishindikana yote hayo badili email id!, Mwambie umepoteza password jana baada ya kuchati nae na hivyo basi umefungua id mpya, kama akikuta meseje yoyote mwambie haijatoka kwako mostyl kwa hackers
Ukishindwa yote hayo basi kubali yaishe